Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 1,581
- 2,076
- Thread starter
- #41
Kabsa mkuu uko sahihiBiashara zote zina siri kubwa sana, hapa mgahawani, unakopenda kupata mlo wako wa mchana ukipata makando kando yake, utajuta milele. Kama waswahili wasemavyo; "mjini hakuna haramu": basi, vema kujenga mazoea ya kula tukiandaacho kwenye majiko yetu kwa mapishi yanayofaa kwa ustawi bora wa afya zetu.