Je, wajua Facebook na Instagram ni ajira tosha?

Shamba eggs

Member
Feb 13, 2019
12
5
Nikweli watu wengi wamekua na nadharia tofauti tofauti kuhusiana na mitandano ya kijamii(digital platforms). Wengi wetu tunanadharia kwamba mitandao ya kijamiii ni sehemu pekee yakufanyia vurugu au kwaajili ya kuaribu maadili na tamaduni zetu bila kujua na kujali kwamba mitandao hiyo hiyo ikitumiwa vizuri inaweza ikakufanya utoke daraja moja kwenda daraja lingine either kimaisha au kiakili pia.

Mitandao ya kijamii kama Facebook na Instagram ukiitumia in a very productive way inaweza kukutajirisha kwani ni mitandao inayotumiwa na watu wengii sanaa.

Yaani imegeuza Dunia kua kijiji kimoja inamaanisha kwamba inakua rahisi sanaa kukutana na watu kiurahisi. Tuchukulie mfano, wewe ni mfanya biashara wa nguo labda za mtumba au special ukatumiaa majukwaa hayo tofauti kutangaza biashara zako inasaidia sanaa kupata wateja wa bidhaa zako vile vile sio kwa faida nguo tu bali hata biashara yoyote ile.

Ukiipromote biashara yako huko itakuaaidia sana kupanua masoko yako na kufikia wateja wako kwa pamoja.

Mitandao ya kijamii ni mizuri sanaaa pia inakuza watu kiakili kwani kuna page nyingii nzuri sana zenye mafundisho tofauti tofauti (ndoa, uchumi, biashara, mahusiano, familia, nk) ukiyazingatia hayo nakuhakikishia hutapata tabu ya kutatua changamoto yoyote katika maisha yako.

Niwasihi sana, tujaribu kutazama mitandao ya kijamiii kwa mtazamo chanya sana kwani unalipa sana TAFAKARI NA CHUKUA HATUA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
aliyetengeneza jagi pamoja na kwamba alilenga kuweka kimiminika lakini maamuzi ya kutumia jagi ni ya mwenye jagi;
kila MTU na upeo wake Wa kutumia jagi!
kuna wengine wataweka divai, wengine wataweka maji, wengine wataweka pombe, wengine wataweka bangi wengine wanatawazia n.k
JAMBO LA MSINGI KILA MTU HUFANYA JAMBO LA MHIMU ANALOLIONA!
hivi sahivi wote tukitupia biashara zetu huko mtandaoni unazani patakalika?
MARKETING ni taaluma za watu, haiwezekani kila mtu akawaza ulivyowaza!
Waache watu na mabando yao na simu zao almradi hawavunji sheria!
kimfaacho MTU chake
 
aliyetengeneza jagi pamoja na kwamba alilenga kuweka kimiminika lakini maamuzi ya kutumia jagi ni ya mwenye jagi;
kila MTU na upeo wake Wa kutumia jagi!
kuna wengine wataweka divai, wengine wataweka maji, wengine wataweka pombe, wengine wataweka bangi wengine wanatawazia n.k
JAMBO LA MSINGI KILA MTU HUFANYA JAMBO LA MHIMU ANALOLIONA!
hivi sahivi wote tukitupia biashara zetu huko mtandaoni unazani patakalika?
MARKETING ni taaluma za watu, haiwezekani kila mtu akawaza ulivyowaza!
Waache watu na mabando yao na simu zao almradi hawavunji sheria!
kimfaacho MTU chake

Sipingani na wazo Lako mkuu ni kweli unachokiongea na wazo lako pia ni zuri snaaa lakin hoja yangu au mtazamo wangu hapo ni kwamba watumiaji wa mitandao au izo digital platforms ni wengi snaa sijasema kwamba ndo iwe njia pekee ya kutafta marketing lakin nimesehema inasaidia kupanua soko n kutangaza biashara yako ..watu wengi wamekua Wahanga wa masoko kwa mtazamo watu mfano watu elfu 5000 wakapitia tangazo lako utakosa hata wateja wawili utakua tayari umepanua soko lako na sikwmba na shauri kila mtu kufanya ivo kila mtu ananjia yake ya utaftaji so ni wazo tu kiongozi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipingani na wazo Lako mkuu ni kweli unachokiongea na wazo lako pia ni zuri snaaa lakin hoja yangu au mtazamo wangu hapo ni kwamba watumiaji wa mitandao au izo digital platforms ni wengi snaa sijasema kwamba ndo iwe njia pekee ya kutafta marketing lakin nimesehema inasaidia kupanua soko n kutangaza biashara yako ..watu wengi wamekua Wahanga wa masoko kwa mtazamo watu mfano watu elfu 5000 wakapitia tangazo lako utakosa hata wateja wawili utakua tayari umepanua soko lako na sikwmba na shauri kila mtu kufanya ivo kila mtu ananjia yake ya utaftaji so ni wazo tu kiongozi


Sent using Jamii Forums mobile app
siyo kila biashara inapaswa kutupiwa mtandaoni!
jiulize muuza majeneza akitupia mtandaoni majeneza itakuwaje! Just Think Big kwamba
"Nature of survive for existence will never be the same"
HAIWEZEKANI KILA MTU AKATUMIA MTANDAO KUUZA!
Sasa wengine sie ni waganga Wa kienyeji "Tukiamua kutupia mafuvu humu mtataftana"
 
Hahahahaha bado sipingani na ww umeona mifano niliyoiorodhesha apo juu boss .. Kwan we ujawai kuona instragm kuna watu ni waganga na anatangaza biashara zao ivo ivoo na wanapata wateja bado Niko na hoja yangu io io kiongozi BIASHARA NI MATANGAZO...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
siyo kila biashara inapaswa kutupiwa mtandaoni!
jiulize muuza majeneza akitupia mtandaoni majeneza itakuwaje! Just Think Big kwamba
"Nature of survive for existence will never be the same"
HAIWEZEKANI KILA MTU AKATUMIA MTANDAO KUUZA!
Sasa wengine sie ni waganga Wa kienyeji "Tukiamua kutupia mafuvu humu mtataftana"

Vile vile mafundi majeneza unadhani kwa nini wanatengeneza majeneza hatakama awajapata wateja na pia kuna ushindani na gharama za majeneza zinatofautiana kutokana na mapambo na ubora unadhani ni kwa nn wanafanya ivo yote hayo ni kuonyesha ubora wa bidhaa zao BIASHARA NI MATANGAZO ndugu yangu....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom