Je, wajua DART yaingiza kiasi gani kwa siku, mwezi hata kwa mwaka hata kama hawataki tuhoji hii? ni zaidi ya bilioni

Jana tukiwa maskani kuna brother wa mtaani pale ni dereva wa Dart tukawa tunazungumza mambo mawili matatu kuhusiana na mradi huu mpya wa Mbagala na Bunju, nilimuuliza kuhusu matatizo ambayo yamekuwa yajishuhudiwa vituoni akanambia yale yanakwenda kuisha sababu mkwamisha mafanikio(Kisena) keshatiwa nguvuni na yule mchina aliyekuwa anachapisha tiketi feki wote wapo ndani. Nyumba ya Kisena ilikwenda kukaguliwa ikakutwa na bil 3. Zikakaguliwa na nyumba zake nyingine jumla kakutwa na bil 50.
Hii ni myth
 
Jana tukiwa maskani kuna brother wa mtaani pale ni dereva wa Dart tukawa tunazungumza mambo mawili matatu kuhusiana na mradi huu mpya wa Mbagala na Bunju, nilimuuliza kuhusu matatizo ambayo yamekuwa yajishuhudiwa vituoni akanambia yale yanakwenda kuisha sababu mkwamisha mafanikio(Kisena) keshatiwa nguvuni na yule mchina aliyekuwa anachapisha tiketi feki wote wapo ndani. Nyumba ya Kisena ilikwenda kukaguliwa ikakutwa na bil 3. Zikakaguliwa na nyumba zake nyingine jumla kakutwa na bil 50.
Duuu utani huoo Khaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya kipumbavu ya usafiri wa mabasi ya mijini katika majiji kuwahi kutokea...

Tunataka kuiga waliondelea wanasafirisha vipi watu wao mijini lakini tunashindwa kuiga namna ya uendeshaji wa safari zao...

Vituo havina hata mabango kuonesha mienendo ya mabasi, wapi basi namba fulani lipo, linafika kituoni baada ya muda gani n.k...

Ukataji tiketi ni wa kizamani mno, kuna vizinga vya kielektroniki lakini havitumiki...

Madereva wanaamua tu kituo fulani asichukue abiria na kituo kingine achukue...

Hawajifunzi ni wakati gani maeneo fulani huwa na watu wengi kiasi kwamba hata idadi ya mabasi pia ilingane na idadi ya wasafiri, mathalani nyakati za jioni kituo cha Morocco kina mabasi mengi ya kwenda Kivukoni/Gerezani kuliko kuelekea Ubungo/Kimara (maeneo ambayo kwa jiografia ya Dar ndipo kuna wakazi zaidi)...

Hakuna utaratibu wa uchukuzi wa walemavu, wazee, watoto na wamama wajawazito. Mwenye nguvu ndiye anayeweza kupanda na hata kupata seat...

Yaani hata sijui mamlaka inayoyasimamia hayo madude ni ipi? Ni Sumatra ama Wizara fulani?

Hakika waliotoa pesa zao kujenga huu mradi sijui hata kama wanajua madudu yaliyopo...
 
Duuu utani huoo Khaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuamini ndugu, ila ukweli uko hivyo, unaambiwa hata zile bus zilizozuiliwa bandarini kuna magumashi Kisena aliyafanya mzee akamkazia. Yeye alichukulia advantage ya u classmate. Fuatilia kwa ukaribu vizuri ndugu, utabaki kinywa wazi. Sasa hivi hao wafanyakazi wa Uda wanalipwa on time
 
Naomba namba ya dereva nipambane kabla hawajabana sana😋😋
Jana tukiwa maskani kuna brother wa mtaani pale ni dereva wa Dart tukawa tunazungumza mambo mawili matatu kuhusiana na mradi huu mpya wa Mbagala na Bunju, nilimuuliza kuhusu matatizo ambayo yamekuwa yajishuhudiwa vituoni akanambia yale yanakwenda kuisha sababu mkwamisha mafanikio(Kisena) keshatiwa nguvuni na yule mchina aliyekuwa anachapisha tiketi feki wote wapo ndani. Nyumba ya Kisena ilikwenda kukaguliwa ikakutwa na bil 3. Zikakaguliwa na nyumba zake nyingine jumla kakutwa na bil 50.
 
Point namba tatu inaonekana haya mabasi huyajui.
Rigid ni 120 na articulate ni 180, hii ni according to the designer wa bhaya mabasi, sio namba ya kutunga. hapo hayajabeba kibongo bongo.
pesa iingia yaweza kuwa mara tatu ya hii uliyoweka hapa.
 
Akili za JF bana,hawana PAYE.Hawana kodi ya faida kila mwezi.
Hawana bili ya umeme
Bili ya maji
Bili ya matangazo
Bili ya internet kwenye mawasiliano yao.
Bima ya magari yote.
Gharama za walinzi.
Gharama za wafanya usafi maofisini.
Ukarabati wa magari.
 
Note mpaka sasa wafanyakazi wa hiyo kampuni hawajalipwa mishahara yao huu ni mwezi wa nne

mpuuzi mpuuzi tu
Wanajilipa wenyewe mfano makeshia. Hii ni common sense. Haiwezekani hujanilipa miezi 4 alafu nakuja kazini kila siku saa kumi asubuhi mpaka saa nane mchana au saa nane mchanampaka saa sita usiku na nafanya kazi ya kukukusanyia nauli. Ni wazi wanapiga hata makeshia na watu wa IT kuchakachua mitambo. Kwanza kwa sasa mfumo ulivyo ni rahisi sana kuiba. Hauko kielectronic. Tikects ambazo ni feki hazitambuliki getini na mfumo wao nafikiri kwa sasa unafanya kazi locally. Siku hizi huwezi sikia kuna tatizo la network labda la kutengeneza. Kwa nini? Kwa sababu tiketi inakatwa hapo hapo kwenye mashine na na sio kwamba tiketi ziwe requested na sysytem kutoka kwenye server. Hapa ndio upigaji ulipo.
sysyem ya zamani ingawa ilikuwa na kero ila ingeboreshwa, ilikuwa inaziba mianya ya wizi kwa kiasi kikubwa.
Kwa system ya sasa, kama keshia akifunga hesabu na akaamua ku-mess up the system, ni rahisi. System ya zamani kila tickets batch you request, inaconfirm na server ndio unapata. Sasa hivi ukifunga hesabu usiku nafikiri ndio hesabu zaweza tumwa.
Ni maelezo nilipewa na mtaalam wa haya mambo.
 
Back
Top Bottom