Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG?

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali na alama za kuuliza nimeziweka, maana watu tusije itwa mahali kuhojiwa kuwa tumelidhalilisha Bunge.

Swali lenyewe ni hili,
Jee Wajua Bunge Linaweza Kutoa Azimio Batili?. CAG yuko Kikatiba, Jee Bunge Lina Uwezo Kutopokea Ripoti ya CAG?.

Tuliisha zungumza sana kuhusu kuhusu kitu kinachoitwa "The Principle of Separation of Powers, Checks and Balances" tukasema kanuni hii hutumika na mihimili hii mitatu ya dola kwa lengo kila mhimili kuwa a watchdogs wa mihimili mingine isijiinue kupita mamlaka yake.

Jee Azimio hili la Bunge kuamua halitafanya kazi na CAG ni Azimio Batili?, kwa sababu Ofisi ya CAG ipo kwa mujibu wa katiba, na Ripoti ya CAG inawasilishwa Bungeni kwa mujibu wa katiba, Jee Bunge lina uwezo huo wa kuamua kutofanya kazi na CAG, wakati Bunge sio Mamlaka ya nidhamu ya CAG, kama CAG amelikosea Bunge, then Bunge ama limshitaki CAG mahakamani au limshitaki CAG kwa mamlaka yake ya nidhamu, hiyo mamlaka ndio iamue kumchukulia CAG hatua za kinidhamu tena kwa mujibu wa Katiba lakini sio kwa Bunge kutoa Azimio Batili la altimatum kuilazimisha serikali kumuondoa CAG.

Bunge ni tukufu haliwezi kukosea, lakini linaongozwa na watu hivyo watu hawa wanaweza kukosea na ndio maana wakikosea, wanaweza kuondolewa.

Serikali inaongozwa na rais na pale Ikulu ni mahali patakatifu hivyo rais wetu anapaswa kuwa Mtakatifu ambaye hawezi kukosea na ndio maana rais hawezi kushitakiwa, ana kinga ya kutokushitakiwa kutokana na utakatifu huu, lakini rais pia ni binaadamu anaweza kufanya makosa ya kibinaadamu na anaweza asiwe Mtakatifu, ndio maana akikosea anaweza kushitakiwa na Bunge na akikutwa na hatia anaondolewa.

Ofisi ya CAG ni vivyo hivyo, ipo pale kwa mujibu wa katiba na CAG yupo kikatiba, Bunge haliwezi kujiamulia kuwa halifanyi kazi na CAG, bali kwa vile ofisi ya CAG nayo inaongozwa na mtu anayeitwa CAG, mtu huyu anaweza kukosea, akikosea anashitakiwa na akithibitishwa amekosea, anaondolewa.

Hivyo kama CAG, ana makosa dawa sio kwa Bunge kuamua kutofanya kazi na CAG, kwa kutoa Azimio batili, bali kumshitaki, GAG aondolewe, maisha yaendelee.

Naomba msaada kwa wabobezi wa sheria, taratibu na kanuni, watufafanulie jee Bunge letu tukufu, lina uwezo huo?.

Paskali
bwana wewe katiba sasa si chochote kimekuwa kama kitabu tu cha ngoswe penzi kitovu cha uzembe
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali na alama za kuuliza nimeziweka, maana watu tusije itwa mahali kuhojiwa kuwa tumelidhalilisha Bunge.

Swali lenyewe ni hili,
Jee Wajua Bunge Linaweza Kutoa Azimio Batili?. CAG yuko Kikatiba, Jee Bunge Lina Uwezo Kutopokea Ripoti ya CAG?.

Tuliisha zungumza sana kuhusu kuhusu kitu kinachoitwa "The Principle of Separation of Powers, Checks and Balances" tukasema kanuni hii hutumika na mihimili hii mitatu ya dola kwa lengo kila mhimili kuwa a watchdogs wa mihimili mingine isijiinue kupita mamlaka yake.

Jee Azimio hili la Bunge kuamua halitafanya kazi na CAG ni Azimio Batili?, kwa sababu Ofisi ya CAG ipo kwa mujibu wa katiba, na Ripoti ya CAG inawasilishwa Bungeni kwa mujibu wa katiba, Jee Bunge lina uwezo huo wa kuamua kutofanya kazi na CAG, wakati Bunge sio Mamlaka ya nidhamu ya CAG, kama CAG amelikosea Bunge, then Bunge ama limshitaki CAG mahakamani au limshitaki CAG kwa mamlaka yake ya nidhamu, hiyo mamlaka ndio iamue kumchukulia CAG hatua za kinidhamu tena kwa mujibu wa Katiba lakini sio kwa Bunge kutoa Azimio Batili la altimatum kuilazimisha serikali kumuondoa CAG.

Bunge ni tukufu haliwezi kukosea, lakini linaongozwa na watu hivyo watu hawa wanaweza kukosea na ndio maana wakikosea, wanaweza kuondolewa.

Serikali inaongozwa na rais na pale Ikulu ni mahali patakatifu hivyo rais wetu anapaswa kuwa Mtakatifu ambaye hawezi kukosea na ndio maana rais hawezi kushitakiwa, ana kinga ya kutokushitakiwa kutokana na utakatifu huu, lakini rais pia ni binaadamu anaweza kufanya makosa ya kibinaadamu na anaweza asiwe Mtakatifu, ndio maana akikosea anaweza kushitakiwa na Bunge na akikutwa na hatia anaondolewa.

Ofisi ya CAG ni vivyo hivyo, ipo pale kwa mujibu wa katiba na CAG yupo kikatiba, Bunge haliwezi kujiamulia kuwa halifanyi kazi na CAG, bali kwa vile ofisi ya CAG nayo inaongozwa na mtu anayeitwa CAG, mtu huyu anaweza kukosea, akikosea anashitakiwa na akithibitishwa amekosea, anaondolewa.

Hivyo kama CAG, ana makosa dawa sio kwa Bunge kuamua kutofanya kazi na CAG, kwa kutoa Azimio batili, bali kumshitaki, GAG aondolewe, maisha yaendelee.

Naomba msaada kwa wabobezi wa sheria, taratibu na kanuni, watufafanulie jee Bunge letu tukufu, lina uwezo huo?.

Paskali
Kweli umelala usingizi wa pono
Kwani tanzania kwa Sasa inaongozwa kwa mujibu wa katiba Sheria na kanuni?
Umeamua kujifanya hujui?
Kwa katiba maoni yako yako sawa lkn kwa mujibu wa awamu ya 5 je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali na alama za kuuliza nimeziweka, maana watu tusije itwa mahali kuhojiwa kuwa tumelidhalilisha Bunge.

Swali lenyewe ni hili,
Jee Wajua Bunge Linaweza Kutoa Azimio Batili?. CAG yuko Kikatiba, Jee Bunge Lina Uwezo Kutopokea Ripoti ya CAG?.

Tuliisha zungumza sana kuhusu kuhusu kitu kinachoitwa "The Principle of Separation of Powers, Checks and Balances" tukasema kanuni hii hutumika na mihimili hii mitatu ya dola kwa lengo kila mhimili kuwa a watchdogs wa mihimili mingine isijiinue kupita mamlaka yake.

Jee Azimio hili la Bunge kuamua halitafanya kazi na CAG ni Azimio Batili?, kwa sababu Ofisi ya CAG ipo kwa mujibu wa katiba, na Ripoti ya CAG inawasilishwa Bungeni kwa mujibu wa katiba, Jee Bunge lina uwezo huo wa kuamua kutofanya kazi na CAG, wakati Bunge sio Mamlaka ya nidhamu ya CAG, kama CAG amelikosea Bunge, then Bunge ama limshitaki CAG mahakamani au limshitaki CAG kwa mamlaka yake ya nidhamu, hiyo mamlaka ndio iamue kumchukulia CAG hatua za kinidhamu tena kwa mujibu wa Katiba lakini sio kwa Bunge kutoa Azimio Batili la altimatum kuilazimisha serikali kumuondoa CAG.

Bunge ni tukufu haliwezi kukosea, lakini linaongozwa na watu hivyo watu hawa wanaweza kukosea na ndio maana wakikosea, wanaweza kuondolewa.

Serikali inaongozwa na rais na pale Ikulu ni mahali patakatifu hivyo rais wetu anapaswa kuwa Mtakatifu ambaye hawezi kukosea na ndio maana rais hawezi kushitakiwa, ana kinga ya kutokushitakiwa kutokana na utakatifu huu, lakini rais pia ni binaadamu anaweza kufanya makosa ya kibinaadamu na anaweza asiwe Mtakatifu, ndio maana akikosea anaweza kushitakiwa na Bunge na akikutwa na hatia anaondolewa.

Ofisi ya CAG ni vivyo hivyo, ipo pale kwa mujibu wa katiba na CAG yupo kikatiba, Bunge haliwezi kujiamulia kuwa halifanyi kazi na CAG, bali kwa vile ofisi ya CAG nayo inaongozwa na mtu anayeitwa CAG, mtu huyu anaweza kukosea, akikosea anashitakiwa na akithibitishwa amekosea, anaondolewa.

Hivyo kama CAG, ana makosa dawa sio kwa Bunge kuamua kutofanya kazi na CAG, kwa kutoa Azimio batili, bali kumshitaki, GAG aondolewe, maisha yaendelee.

Naomba msaada kwa wabobezi wa sheria, taratibu na kanuni, watufafanulie jee Bunge letu tukufu, lina uwezo huo?.

Paskali
Kwaajili Safety he is Better akiachia Hiyo Nafasi, kila kitu Kiko Programmed! Kwaajili ya 'Maslahi Mapana ya Umma', kama Kapachoka hapa tulipo, atapelekwa asipopajua!
 
Mkuu Paskali ningependa kufahamu kuhusu huu ukaguzi unaofanywa na ofisi ya mkaguzi Mkuu wa serikali, je report zile zina mambo ya kifamilia yanayomhusu mkaguzi au zina mambo ya kitaifa? na je Bunge linapogoma kufanya kazi na CAG ni nani anayekomeshwa hapo? ni CAG au ni Taifa?
Lakini, kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba baada ya Ofisi ya CAG kumaliza kufanya ukaguzi hukabidhi report zake kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hii ina maanisha kuwa Ofisi ya CAG imesha maliza kazi yake, na baada ya hapo Ofisi ya Rais hukabidhi report hizo ktk ofisi husika ili ziweze kufika Bungeni tayari kujadiliwa, je kwa mfumo huo bunge linapogoma kufanyia kazi report hizo si wamemgomea Mh Rais ambaye ndiye aliyewakabidhi report husika?
Labda kwa wajuzi wa mambo wanipe elimu nami niweze kupata uelewa ktk hili.
ndio maana yake, bunge linamlazimisha rais kumtoa cag nnavoona mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAG na hasa NAO ndio Supreme Audit Institution hapa Tanzania na hata kwa mujibu wa sheria za kimataifa ambazo tumeziridhia. Core principles on an SAI Independence are the following:
  1. The existence of an appropriate and effective constitutional/statutory/legal framework and the de facto application provisions of this framework
  2. The independence of SAI heads and members of collegial institutions, including security of tenure and legal immunity in the normal discharge of their duties
  3. A sufficiently broad mandate and full discretion, in the discharge of SAI functions
  4. Unrestricted access to information
  5. The rights and obligation to report on their work
  6. The freedom to decide the content and timing of audit reports and to publish and disseminate them
  7. The existence of effective follow-up mechanisms on SAI recommendations
  8. Financial and managerial/administrative autonomy and the availability of appropriate human, material and monetary resources
The principles are supported by application provisions to illustrate the principles and are considered to be ideal for an independent SAI
 
Ikiwa bunge litakwepa check and balance ya CAG ni vema tufanya haraka kubadilisha katiba yetu hili tuwe na wabunge wenye mlengo mmoja,wanaosema always NDIOO naunga mkono mia kwa mia,.Wananchi hawachagui wabunge wao hili wakwepe kuwatetea na badala yake kukubaliana na kila jambo la Serikali mia kwa mia.Kama itakuwa hivyo wafute mfumo kuwa na bunge NO MORE DEBATE BUNGENI
 
Mipango bila mipango ndo hiyo!!Katiba inaruhusu kumshitaki CAG,ila mipango waliyoipanga ya hila aina mipango ndiyo maana wametambaa na reli ambayo ndiyo kamati ya maadili lakini walipoendelea wamekuta reli imefika mwisho wao walidhania kuna kituo kingine kumbe ndo mwisho wa reli na hamtaki kwa sababu zao wanazo zijua!Saasa wanafanyeje ni kujizila kuwa hatutaki kufanya naye kazi! Kivipi uwezi kufanya naye kazi uliyefunga naye ndoa!mshitaki muachane salama siyo tu kutoka uliko toka unasema hapa sitaki kufanyanaye kazi! Utakuwa mtu wa ajabu sana!Sema sitaki kufanya na Asadi ila siyo Ofisi ya CAG.

Nasikia wameamua hivi https://www.jamiiforums.com/threads/breaking-news-cag-mpya-atajwa.1567897/
 
Ikiwa bunge litakwepa check and balance ya CAG ni vema tufanya haraka kubadilisha katiba yetu hili tuwe na wabunge wenye mlengo mmoja,wanaosema always NDIOO naunga mkono mia kwa mia,.Wananchi hawachagui wabunge wao hili wakwepe kuwatetea na badala yake kukubaliana na kila jambo la Serikali mia kwa mia.Kama itakuwa hivyo wafute mfumo kuwa na bunge NO MORE DEBATE BUNGENI
Hata hivyo hizi demokorasia ni mabeberu tu ndio yanatulazimisha, sisi hatutaki, siasa ni kutuchelewesha kwenye maendeleo, mimi napendekeza idara zinazosuasua lipewe jeshi, kama kwenye korosho.
 
Kwa wataalamu wa sheria hvi CAG anapeleka taarifa Bungen au kwa Rais? Kwa nnavyofahamu naweza kukosolewa pia Serikali ndio inapeleka taarifa Bungeni baada ya kuipokea kutoka kwa CAG.
So kama serikali imepokea taarifa then Bunge linaweza kuvimba lispokee taarifa inayoletwa na serikal?
 
Hakika inashangaza sana.... Jicho la bunge katika kuisimamia serikali ni CAG. Sasa unaondoa jicho hilo na unakuwa kipofu kabisa....yaani bunge linakuwa dhaifu kipeuo cha pili.

Wabunge wa CCM wameingia kwenye kumbukumbu mbaya sana, na historia itawahukumu vizazi kwa vizazi.

Muda ni shuhuda

Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi hii habari kesho uitoe ukurasa wa mbele wa gazeti lako!
 
Kwa wataalamu wa sheria hvi CAG anapeleka taarifa Bungen au kwa Rais? Kwa nnavyofahamu naweza kukosolewa pia Serikali ndio inapeleka taarifa Bungeni baada ya kuipokea kutoka kwa CAG.
So kama serikali imepokea taarifa then Bunge linaweza kuvimba lispokee taarifa inayoletwa na serikal?

Mkuu mchezo uko in partnership kati ya Magu (Serikali) na Ndungai (Bunge) kuzuia sisi wananchi kupata taarifa ya madudu yao.

Unadhani serikali ikipokea report halafu ikakaa nayo nani atahoji? Utetezi utakuwa kwamba bunge limegoma kufanya kazi na CAG.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali na alama za kuuliza nimeziweka, maana watu tusije itwa mahali kuhojiwa kuwa tumelidhalilisha Bunge.

Swali lenyewe ni hili,
Jee Wajua Bunge Linaweza Kutoa Azimio Batili?. CAG yuko Kikatiba, Jee Bunge Lina Uwezo Kutopokea Ripoti ya CAG?.

Tuliisha zungumza sana kuhusu kuhusu kitu kinachoitwa "The Principle of Separation of Powers, Checks and Balances" tukasema kanuni hii hutumika na mihimili hii mitatu ya dola kwa lengo kila mhimili kuwa a watchdogs wa mihimili mingine isijiinue kupita mamlaka yake.

Jee Azimio hili la Bunge kuamua halitafanya kazi na CAG ni Azimio Batili?, kwa sababu Ofisi ya CAG ipo kwa mujibu wa katiba, na Ripoti ya CAG inawasilishwa Bungeni kwa mujibu wa katiba, Jee Bunge lina uwezo huo wa kuamua kutofanya kazi na CAG, wakati Bunge sio Mamlaka ya nidhamu ya CAG, kama CAG amelikosea Bunge, then Bunge ama limshitaki CAG mahakamani au limshitaki CAG kwa mamlaka yake ya nidhamu, hiyo mamlaka ndio iamue kumchukulia CAG hatua za kinidhamu tena kwa mujibu wa Katiba lakini sio kwa Bunge kutoa Azimio Batili la altimatum kuilazimisha serikali kumuondoa CAG.

Bunge ni tukufu haliwezi kukosea, lakini linaongozwa na watu hivyo watu hawa wanaweza kukosea na ndio maana wakikosea, wanaweza kuondolewa.

Serikali inaongozwa na rais na pale Ikulu ni mahali patakatifu hivyo rais wetu anapaswa kuwa Mtakatifu ambaye hawezi kukosea na ndio maana rais hawezi kushitakiwa, ana kinga ya kutokushitakiwa kutokana na utakatifu huu, lakini rais pia ni binaadamu anaweza kufanya makosa ya kibinaadamu na anaweza asiwe Mtakatifu, ndio maana akikosea anaweza kushitakiwa na Bunge na akikutwa na hatia anaondolewa.

Ofisi ya CAG ni vivyo hivyo, ipo pale kwa mujibu wa katiba na CAG yupo kikatiba, Bunge haliwezi kujiamulia kuwa halifanyi kazi na CAG, bali kwa vile ofisi ya CAG nayo inaongozwa na mtu anayeitwa CAG, mtu huyu anaweza kukosea, akikosea anashitakiwa na akithibitishwa amekosea, anaondolewa.

Hivyo kama CAG, ana makosa dawa sio kwa Bunge kuamua kutofanya kazi na CAG, kwa kutoa Azimio batili, bali kumshitaki, GAG aondolewe, maisha yaendelee.

Naomba msaada kwa wabobezi wa sheria, taratibu na kanuni, watufafanulie jee Bunge letu tukufu, lina uwezo huo?.

Paskali

Bro Mayalla, huu uzi unaweza kuwa na jibu la lile swali lako lenye alama za kuuliza pia kuwa "kuwa ccm ni ujinga?" au "wanaohamia ccm ni wajinga?"... kivipi?? kwa kuangalia idadi ya wabunge bungeni ambao wanakaa kupitisha jambo kama hili hapa.
 
Sasa Bunge litakuwa linakaa kufanya nini? Wabunge ndo wawakilishi wetu ila kwa bunge hili la awamu ya tano, bora tusiwe na Bunge , tubaki na mihimili miwili tu Mahakama na serikali, Bunge hili limekosa sifa ya kuwa msimamizi na mshauri wa serikali, sana sana naona wanakaa vikao kula pesa zetu za kodi tu. Tumechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zuio hilo ni kwa CAG au Profesa Asad?
Maana CAG anaweza kuwa mtu yeyote, lakini Profesa Asad atabaki kuwa Profesa Asad.
Je akichaguliwa CAG mwingine zuio litaondolewa?
Kuna shida mhimili mmoja kuokosoa mhimili mwingine?
Vp rais au jaji mkuu nae akikosoa kwa namna hiyo hiyo itakuwaje?
Wajuzi tusaidiane.
 
Unauliza kuhusu katba na jibu unalo?kwn ulvyomuuliza Mkuu pale jumba jeupe hukumbuki ulichojibiwa?hawa wameshaona cc c lolote mbele yao ucshangae hata wakajiongezea muda wa kutawala tukabak kulialia tu ktk ufahamu wangu mdogo hz nchi zilizopata Uhuru wa bwerere zna ujinga mwing sana kupanga kuchagua na cc haya maisha tumeyachagu wenyew kuna maneno ya Mwenyez yanasema(Hakika mwenyez hawez kubadlsha hali za watu mpaka wenyew wakubal kubadilika)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom