Habari ndugu mwana JamiiForums,
Leo nimeona nikuletee jambo hili kuna baadhi ya watu wanashindwa kuelewana katika mahusiano au mapenzi au ndoa sababu hawana pesa hususani wanawake wengi wa sasa hawawaelewi maboyfriend wao ati kisa hana pesa
Na asipokua na pesa na mapenzi yao hayawi motomoto ila yanakua yabaridi kama barafu na baada ya hapo huzaa mikwaruzano au kutoelewana katika mahusiano,mapenzi au ndoa yao
Pia wapo maboy ambao wakiwa wanimiliki magirlfriend ambao wanamaisha yakawaida punde tu atakapompata mwenye matawi ya juu katika pesa anamwacha yule alokua naye mwanzo eti kisa pesa.
UJUMBE
Tujaribu kubadilika na kuvumiliana kwani ndiyo njia pekee ya ushindi katika maisha kwasababu hata pesa huja ukiwa mvumilivu
Leo nimeona nikuletee jambo hili kuna baadhi ya watu wanashindwa kuelewana katika mahusiano au mapenzi au ndoa sababu hawana pesa hususani wanawake wengi wa sasa hawawaelewi maboyfriend wao ati kisa hana pesa
Na asipokua na pesa na mapenzi yao hayawi motomoto ila yanakua yabaridi kama barafu na baada ya hapo huzaa mikwaruzano au kutoelewana katika mahusiano,mapenzi au ndoa yao
Pia wapo maboy ambao wakiwa wanimiliki magirlfriend ambao wanamaisha yakawaida punde tu atakapompata mwenye matawi ya juu katika pesa anamwacha yule alokua naye mwanzo eti kisa pesa.
UJUMBE
Tujaribu kubadilika na kuvumiliana kwani ndiyo njia pekee ya ushindi katika maisha kwasababu hata pesa huja ukiwa mvumilivu