Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,144
- 6,947
Tatizo huwa wakiwa kwenye vijiwe vya Pombe za kienyeji,wanadanganyana ,badala wao kwenda kwa wasomi wa kiislamu kuuulizia,wakafundishwa hawataki.Lakini ni ajabu ,akiwa anataka kuulizia kuhusu ugonjwa alionao,haendi kwenye vijiwe vya Pombe,anakwenda hospital kwa daktari.Tatizo hawa ndugu zetu wanatengeneza vijihoja ambavyo wanataka watu wavielewe kwa jinsi ya kupindisha kwao baadhi ya aya, huenda wakawa wanajua ukweli au wanakopi na kupesti kutoka katika kazi za wapotoshaji, tatizo kuna watu maskini huwa wanafuata mkumbo tu wakiona andiko wanalimeza zimazima hao ndiyo wanatakiwa kuelimishwa na wakiwa wanataka kuelimika.
Sent using Jamii Forums mobile app