Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

kipindi icho cha mussa kishapita na saivi kuna kitabu kipyaaa
Ata watz saivi wanadai katiba mpya kwa kua ile ya zamani imepitwa na wakati lkn Quran haipitwi na wakati inaenda na.kila wakati utakaokuja. hlf sisi ijumaa tunaenda kusali hlf tunarudi kuendelea na maisha kama kawa
Imani inapitwa na wakati..na mbona kuvitumia vitabu vya torati kama vimepitwa na wakati..si viondolewe visitumike.

#MaendeleoHayanaChama
 
Leo wakristo wote wanaume kwa wanawake,wanafinika uso,kwa corona kama wanawake na wanaume wa kiislamu wanavyojifinika uso.Mbona hapo husemi kama wakristo,Wakati walipokuwa wakiwaona wanaume au wanawake wa kiislamu wamejifinika uso,wakiwacheka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja mfu kabisa hii..tamaduni za waarabu zinakutesa for the sake of dini..hao walijifunika ili mchanga wa jangwani usiwaingie puani na machoni..sasa niambie wewe wa kigoma kuna jangwa gani litakalo leta mchang puani na machoni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hoja mfu kabisa hii..tamaduni za waarabu zinakutesa for the sake of dini..hao walijifunika ili mchanga wa jangwani usiwaingie puani na machoni..sasa niambie wewe wa kigoma kuna jangwa gani litakalo leta mchang puani na machoni.

#MaendeleoHayanaChama
Ndio unavyodanganywa katika vijiwe vya Pombe za kienyeji.Sasa hivi wewe unavyaa koti na surual,huvai kijitambaa cha kujifunika sehemu nyeti kama Babu zetu na bibi,ni kuwa utamaduni wa wazungu kwenye baridi kuvyaa suruali na koti,ndio umeiga kwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Dini iko tofauti Na Dini zingine...bado hujajibu maswali
Wewe unauliza jibu.Nimeshakuambia uislamu uko tofauti na dini zote,unazozijuwa na usizozijuwa,uislamu haujakataza TIBA ya aina yoyote.Imetoa Amri kabisa,kuwa ukiumwa ujitibu,ndio ukaona kuna TIBA za dawa za kiislamu,maduka mengi utakutwa yanauzwa dawa hizo za kienyeji za kiislamu,wauzaji ni waislamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua mimi huwa sipendi kuzungumzia mambo ya dini dini kabisa nilishakataa kabisa

Kama unakula kitimoto kula kwa raha zako, hakuna wa kukuzuiya, kama huli usile,

Wewe unayekula usimchukie asiyekula,na wewe usiyekula usimchukie anayekula, mwisho ni kila mtu na hesabu zake mbele ya mungu

Sasa niende moja kwa moja kwenye topic husika, hivi unajua ni upuuzi kuwahusisha waislam na mada zenu za kipuuzipuuzi za nguruwe

Nasema hivyo kwasababu sio dini ya kiislam pekee inakataza nguruwe bali hata dini ya kiikristo inakataza ulaji wa kitimoto

Soma kumbukumbu la torati mlango wa 14

MLANGO 14

Ninyi mmekuwa wana wa Bwana, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa.
2 Kwa kuwa u taifa takatifu kwa Bwana, Mungu wako, na Bwana amekuchagua kuwa watu wake hasa, kuliko mataifa yote yaliyo juu ya uso wa nchi.
3 Usile kitu cho chote kichukizacho.
4 Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,
5 kulungu, na paa, na kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima;
6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama wote, ndiye mnyama mtakayemla.
7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula;
10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu.


Sasa nauliza mnachowashwawashwa na waislam kuwataja ninini kwani bible haikatazi kula?Kwani msinyooshane ninyi kwa ninyi vidole kwakua vitabu vyenu vinakataza?

Kuna mmoja atakuambia hilo ni agano la kale.....Sasa kama ni agano la kale kwanini msilipige marufuku kutumika?Ukikataa agano la kale unatakiwa ukatae kila kila kitu kuanzia Amri kumi za mungu, uwakatae manabii wote wa vitabu vya agano la kale, ukatae kila kitu sio unasema ni agano la kale hilo, huku ukimtambua adam, eva,musa,yakobo, amri za mungu 10 nk....Wakati mwingine tuwe na akili ya kujua zuri na baya,,,mambo mengine ni kujiongeza tu.....Kuna mambo mengine ni kama taasisi za biashara tu...Some religion is all about money even spirit

Mimi ninaomba kabisa wanaJF iwe ni mwanzo na mwisho kuutaja uislam kwenye hayo mavitimoto yenu....kwamba waislam dini yao inawakataza kula....sasa kwani hiyo bible inayokataza kula kitimoto hilo agano la kale ni la waislam au wakristo....Kitabu chenu kiwakataze kula kitimoto ....Hafafu kula na kukiuka mle nyie... lawama mtutupie sisi.. ..huo ni ukorofi.Hebu tujaribu kuwa na akili tu kidogo tusiishi kwa kusukumwa tu na tamaa za kimwili tu na ulafi na anasa

Kila mtu apambane na dini lake, biashara za kusingiziana au kuleteana "scapegoatism" haikubaliani.....Nguruwe mle nyie...Utamu muusikie nyie.....Halafu lawama mtutupie sisi....STOP THAT NONSENSE

Mimi sipendagi kujadili masuala ya madini dini humu ila huu ujinga hauvumiliki hata kidogo.....TUHESHIMIANE.......
Umeongea ukweli mtupu..ila na nyie huko kwenye ibada muache mara moja kuongea na kuwasema kwa ubaya walevi na wasio fuata mafundisho yenu ya dini zenu..kwani mnapungukiwa nini..ishini maisha yenu kama hataki kusemwa msiseme na wengine.

Anyway nguruwe kakatazwa vitabu vyote hili halipingiki..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kila Dini iko tofauti Na Dini zingine...bado hujajibu maswali
Dini karibia zote,duniani zina tofauti ila uislamu,waislamu jambo moja,Kati mengi,ujuwe utofauti,waislamu wote wa dhehebu lolote,wote wanakwenda Maka kuhiji,tarehe mda na matendo wanayokwenda kufanya kiibada yanafanana,hakuna dini duniani,wanayokwenda kufanya ibada sehemu moja,kwa madhehebu yao yote.Hiyo ni Hija tu,wacha na mengine mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matumizi yapo na ndio maana inatumika herufi Q kwenye neno Qur'an, kinachoangaliwa unataka kutengeneza sound gani hapo ndio utajua hiyo sound ipo kwenye kiswahili au haipo.
Ni koroani.hakuna Q kwenye maneno ya kiswahili au X hazitumiki..huu utakua ni kiswahili kigeni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Umefafanua vizuri,lakini hii unataka mtu ambaye,hana majibu yake mfukoni.Maelezo yako uwazi,na yanaweleweka hata kwa mtoto wa darasa la kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hawa ndugu zetu wanatengeneza vijihoja ambavyo wanataka watu wavielewe kwa jinsi ya kupindisha kwao baadhi ya aya, huenda wakawa wanajua ukweli au wanakopi na kupesti kutoka katika kazi za wapotoshaji, tatizo kuna watu maskini huwa wanafuata mkumbo tu wakiona andiko wanalimeza zimazima hao ndiyo wanatakiwa kuelimishwa na wakiwa wanataka kuelimika.
 
Hamna kitu Ni yaleyale Tu...hamna Cha nje ya kusudio wala nini...wanaofata Uislam wa Kweli Ni ISIS Na Boko Haram basi
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
 
Back
Top Bottom