Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,144
- 6,947
Umejibu vizuri.Matumizi yapo na ndio maana inatumika herufi Q kwenye neno Qur'an, kinachoangaliwa unataka kutengeneza sound gani hapo ndio utajua hiyo sound ipo kwenye kiswahili au haipo.
Sent using Jamii Forums mobile app