Je, wahanga wa tatizo la nguvu za kiume ni wanaume au wanawake?

Monseur

JF-Expert Member
Dec 5, 2016
655
522
Wenyewe tumetulia tuli, na tumeridhika na hali zetu lakini wao/wanawake ndio wapo Mstari wa mbele kututafutia Tiba za kuponya tatizo hili.

Barabarani utawakuta wanauza vipande vya nazi, mihogo na Karanga.

Ukiingia mitandao ya kijamii unakutana na matangazo kibao ya madawa ya tiba lishe na wahuzaji wakuu ni hao hao kina mama.

Nimekuwa nikitafakari, je madhumuni yao kina mama na wadada ni kusaidia wanaume kupona, au ni kwa interest zao zaidi?

Maana huenda tatizo lipo kwa wanaume lakini wanawake ndio linawatesa sana kisaikolojia kwa kushindwa kufikishwa kileleni.
 
Hivi jamani si tumekubaliana tutafute hela ndo main point?

Nje ya maada kidogo hivi Kama unatumia dakika tano kupiga bao la Kwanza Kisha jogoo analala mpk usubiri dakika 30 ndo urudie la pili una tatizo la upungufu?
 
Hivi jamani si tumekubaliana tutafute hela ndo main point?




Nje ya maada kidogo hivi Kama unatumia dakika tano kupiga bao la Kwanza Kisha jogoo analala mpk usubiri dakika 30 ndo urudie la pili una tatizo la upungufu?
Hata ka la kwanza unapiga sekunde 20 afu ukaweza kurudia wewe upo fiti kasheshe kama huwezi kurudia hadi keshoo au ukirudia fasta pia unachia wazungu hapo msala
 
Hivi jamani si tumekubaliana tutafute hela ndo main point?




Nje ya maada kidogo hivi Kama unatumia dakika tano kupiga bao la Kwanza Kisha jogoo analala mpk usubiri dakika 30 ndo urudie la pili una tatizo la upungufu?
Kazi kutishana tu
 
Hivi jamani si tumekubaliana tutafute hela ndo main point?




Nje ya maada kidogo hivi Kama unatumia dakika tano kupiga bao la Kwanza Kisha jogoo analala mpk usubiri dakika 30 ndo urudie la pili una tatizo la upungufu?

Hapana, mwenye upungufu hawezi kurudia bao la pili ndani ya Dk 30, never
 
Back
Top Bottom