Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,669
- 155,065
Nimegundua wafanyakazi wengi wa Dsm na miji mingine mikubwa hawana utamaduni wa kupelekana majumbani.
Vikao mara nyingi huishia kwenye nyamachoma.
Je kwanini hali hii?
Mimi hapa ofisini kwangu nimejaribu sana kuwakaribisha wenzangu nyumbani kwangu, lakini wamegoma katakata kunitembea.
Vikao mara nyingi huishia kwenye nyamachoma.
Je kwanini hali hii?
Mimi hapa ofisini kwangu nimejaribu sana kuwakaribisha wenzangu nyumbani kwangu, lakini wamegoma katakata kunitembea.