Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungani wa Tanzania kutoka kushoto Bi. Salome Mwambu,Mwihigulu mbunge mteule wa Iramba Mashariki na Bi.Matha Mlata mbunge viti maalumu wakitoka kwenye ukumbi wa mikutano bungeni Dodoma.
WABUNGE WOTE HAO NI WA MKOA WA SINGIDA.
wanaonekana wako busy sana na simu zao,je hiko ndo wamekifuata mjengoni?ngoja 2015 mtatukuta tu singida huko.
WABUNGE WOTE HAO NI WA MKOA WA SINGIDA.
wanaonekana wako busy sana na simu zao,je hiko ndo wamekifuata mjengoni?ngoja 2015 mtatukuta tu singida huko.