Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,740
Good morning folks & trumpets
Hivi wale waanzilishi wa ACT wakiamua kudai ACT yao wakidai waliporwa, mahakama si inaweza sikiliza case yao tena, sbb walifungua ila ikaishia njiani, je wakijipanga upya na kusema waliporwa Chama chao, si kuna hoja ya msingi hapa jamani..?
Haaa, second half imeanza.. Haa
Hivi wale waanzilishi wa ACT wakiamua kudai ACT yao wakidai waliporwa, mahakama si inaweza sikiliza case yao tena, sbb walifungua ila ikaishia njiani, je wakijipanga upya na kusema waliporwa Chama chao, si kuna hoja ya msingi hapa jamani..?
Haaa, second half imeanza.. Haa