Je, Vyuo, Serikali na Taasisi zote za kielimu zimejipanga vipi kutoa huduma za kielimu iwapo tutavamiwa na Corona?

Newbies

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
1,448
2,111
Wakati huu ambao kuna tishio la korona kila pande ya ulimwengu, Je asasi za kielimu zimejipanga vipi kutolea elimu? Au Ndio zitafungwa kwa muda usio julikana. Nafikiri teknolojia za menti/mentimita na Skype zinaweza kusaidia hilo. Lakini udogo wa teknolojia unaweza kuathiri matumizi yake.
 
Hizo tu mkuu? Tafakari makanisani, misikitini, kwenye usafiri wa umma kama mabasi ya mikoani, dala dala, mwendo kasi, ndege, meli na treni hili watu hukaa wametazamana nk nk Huko nako tumejipangaje? Hizi helmet za boda boda tynazopokezana abiria nazo ni salama kiasi gani??
Wakati huu ambao kuna tishio la korona kila pande ya ulimwengu, Je asasi za kielimu zimejipanga vipi kutolea elimu? Au Ndio zitafungwa kwa muda usio julikana. Nafikiri teknolojia za menti/mentimita na Skype zinaweza kusaidia hilo. Lakini udogo wa teknolojia unaweza kuathiri matumizi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom