Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Vyombo vya Habari vya nchi zilizoendelea kama Marekani, vimekuwa na kawaida ya kusema wazi Vyama au Itikadi ambazo wanazisapoti katika vipindi vya uchaguzi, na hali hiyo huendlea hata baada ya uchaguzi.
Katika nchi zetu za Afrika vyombo vya habari haviweki wazi labda baadhi ya magazeti ambayo kiuhalisia humilikiwa na vyma husika ambavyo kimsingi mrengo wao huwa wazi kutokana na chama kinacho wamiliki.
Je, unaona haja kwa vyombo vingine kuwa wazi kuonyesha kuwa wanawasapoti watu wa chama fulani katika kipindi cha uchaguzi kama wanavyofanya nchi zilizoendelea?
Katika nchi zetu za Afrika vyombo vya habari haviweki wazi labda baadhi ya magazeti ambayo kiuhalisia humilikiwa na vyma husika ambavyo kimsingi mrengo wao huwa wazi kutokana na chama kinacho wamiliki.
Je, unaona haja kwa vyombo vingine kuwa wazi kuonyesha kuwa wanawasapoti watu wa chama fulani katika kipindi cha uchaguzi kama wanavyofanya nchi zilizoendelea?