MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Na Kinachoniuma kama siyo Kunisikitisha hata hao Masikini wenyewe (ama kwa Kujua au Kutokujua) wakiwa wanatajwa katika Mikutano ya Hadhara ya Viongozi wa Kiafrika (Afrika) kuwa ni Masikini na Wasibughudhiwe hufurahia kweli kweli.
Nijuavyo kwa Kiongozi mchapakazi, makini na anayejitambua kamwe hawezi Kuwatumia Masikini wengi kama ndiyo Turufu yake ya Kujijenga zaidi Kwao na Kujiimarisha kiumaarufu wake.
Kiongozi Mzuri wa Afrika ni yule tu anayepambana kila uchao kuwainua Masikini wengi lakini siyo yule anayependa Masikini wazidi Kuongezeka, wabakie pale pale Kimaisha kisha kila baada ya Miaka yake Mitano aendelee Kuwatumia Kisiasa na Kuwadanganya huku Keki ya Taifa ikiishia tu kwa wana Familia wake, Walinzi wake, Waganga wake wa Kienyeji (kama anao) na Mahawara zake mbalimbali.
Nimalize tu kwa kutoa Pongezi kwa Timu za Maandalizi ya Mikutano ya Hadhara ya Viongozi wa Afrika kwa kupatia vyema kabisa Kuwapeleka Wahudhuriaji ambao si tu ni Masikini (kama wanavyokubali Kuitwa hivyo) bali pia ni Wapumbavu Wakomavu ambao muda wote tu Kiongozi akiwa anaongea hata Pumba (Upuuzi) wao Kazi yao ni Kushangilia huku wakisubiria Ubwabwa wa Vikundi na Maji ya Mifuko wanywe kisha warejee Makwao Kuzaliana kama Sungura Pori kusudi wazidi kupanua Wigo wao wa Umasikini, Taabu, Shida na Dhiki.
Nijuavyo kwa Kiongozi mchapakazi, makini na anayejitambua kamwe hawezi Kuwatumia Masikini wengi kama ndiyo Turufu yake ya Kujijenga zaidi Kwao na Kujiimarisha kiumaarufu wake.
Kiongozi Mzuri wa Afrika ni yule tu anayepambana kila uchao kuwainua Masikini wengi lakini siyo yule anayependa Masikini wazidi Kuongezeka, wabakie pale pale Kimaisha kisha kila baada ya Miaka yake Mitano aendelee Kuwatumia Kisiasa na Kuwadanganya huku Keki ya Taifa ikiishia tu kwa wana Familia wake, Walinzi wake, Waganga wake wa Kienyeji (kama anao) na Mahawara zake mbalimbali.
Nimalize tu kwa kutoa Pongezi kwa Timu za Maandalizi ya Mikutano ya Hadhara ya Viongozi wa Afrika kwa kupatia vyema kabisa Kuwapeleka Wahudhuriaji ambao si tu ni Masikini (kama wanavyokubali Kuitwa hivyo) bali pia ni Wapumbavu Wakomavu ambao muda wote tu Kiongozi akiwa anaongea hata Pumba (Upuuzi) wao Kazi yao ni Kushangilia huku wakisubiria Ubwabwa wa Vikundi na Maji ya Mifuko wanywe kisha warejee Makwao Kuzaliana kama Sungura Pori kusudi wazidi kupanua Wigo wao wa Umasikini, Taabu, Shida na Dhiki.