Mporipori
Member
- Nov 22, 2010
- 44
- 0
Salaam wana JF.,
Imekuwa ikisisitizwa mara nyingi hasa na viongozi wetu kwamba kiswahili ndio lugha ya taifa tuienzi. Na sababu kubwa ya kuiweka kuwa lugha ya kufundishia ni kwa sababu ni lugha ya taifa. Lakini wajumbe mtakubaliana na mimi kuwa lugha hii haina tija kwa sasa.. Kama ni compulsory kama lugha ya taifa, kwa nini sasa kuna English medium schools ambazo zinaheshimika sana na ndiko viongozi wetu na watu wengine wenye uwezo wanasomesha watoto wao huku wakiwaacha walala hoi wahangaike kwenye shule za kiswahili kuidumisha 'lugha ya taifa' halafu baadae secondary wanafundishwa kwa kutumia kiingereza wakati ubongo umeshaanza kuchoka. matokeo yake tunapata product dhaifu na wasomi ambao hawawezi kucompete kwenye market.
Hivi ni sababu gani ya msingi inayofanya tuendelee kukumbatia kiswahili na kukitumia kama medium of instructions in primary schools (ambapo wote tunajua ndio muda muafaka ambapo mtoto ni rahisi kudevelop communication skills)
Je viongozi wetu wanasubiri nini..?
Imekuwa ikisisitizwa mara nyingi hasa na viongozi wetu kwamba kiswahili ndio lugha ya taifa tuienzi. Na sababu kubwa ya kuiweka kuwa lugha ya kufundishia ni kwa sababu ni lugha ya taifa. Lakini wajumbe mtakubaliana na mimi kuwa lugha hii haina tija kwa sasa.. Kama ni compulsory kama lugha ya taifa, kwa nini sasa kuna English medium schools ambazo zinaheshimika sana na ndiko viongozi wetu na watu wengine wenye uwezo wanasomesha watoto wao huku wakiwaacha walala hoi wahangaike kwenye shule za kiswahili kuidumisha 'lugha ya taifa' halafu baadae secondary wanafundishwa kwa kutumia kiingereza wakati ubongo umeshaanza kuchoka. matokeo yake tunapata product dhaifu na wasomi ambao hawawezi kucompete kwenye market.
Hivi ni sababu gani ya msingi inayofanya tuendelee kukumbatia kiswahili na kukitumia kama medium of instructions in primary schools (ambapo wote tunajua ndio muda muafaka ambapo mtoto ni rahisi kudevelop communication skills)
Je viongozi wetu wanasubiri nini..?