kipele cha ndevu
Senior Member
- Jan 22, 2018
- 161
- 117
Hivi buku saba kweli zinapatikana pale lumumba au propaganda,pigeni domo mkichoka kapokeeni buku 7 zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi buku saba kweli zinapatikana pale lumumba au propaganda,pigeni domo mkichoka kapokeeni buku 7 zenu
Hata wewe unaweza kuanzisha hata mada elfu kwa siku!
- Je, vijana wa CHADEMA wamechoka au kuna mgomo baridi?
MsemajiUkweli, MsemajiUkweli
Intelijensia ya CHADEMA imekufa baada ya ujio wa Lowassa
MsemajiUkweli, 2
587
29
Drop4 minutes ago
Unajitahidi kweli kuanzisha mada za CHADEMA
Waache wapige domo ili wapate buku 7 wakati wewe ukiandika na kupokea karai lako!pigeni domo mkichoka kapokeeni buku 7 zenu
Inawezekana unayosema ni kweli.MsemajiUkweli Wamekata tamaa,wamechoka wamekuwa chadema wafu
Mtu mwingine akisoma ulichoandika nadhani atamjua nani ni zumbukuku!Hiv kumbe na huku kuna mazumbukuku? Leta hoja siyo hadhi za sungura na fisi
Kweli kila kitabu na wakati wake.Kila wakati na kitabu chake, Chadema ime graduate mambo ya kupost picha za mikutano tumewaachia kina jingalao wajifurahishe this time Chadema inapiga kimya kimya.
Nachokukubali ukweli unaukubali tofauti na makarai ya pale ufipa.Hapa umepiga propaganda kama kawaida yako, lakini kuna ukweli ndani yake na ninauona.
Huyu jamaa hajui hata anachosimamia.Anabeba dhana nzima ya NYUMBUWewe hata wakianza tena kurusha picha za mikutano hapa jamiiforums, utatafuta sababu ya kukubaliana tu!
Nimekusoma kwenye mabandiko yako ya nyuma.
Unaijua nguvu yake ?
Huyu anaitwaje vilee
UMEFANANA NAE SANA... ni kakaako huyoUnaijua nguvu yake ?