Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 695
- 1,712
Habari,
Naomba tujadili hii mada kwa kuongozwa na akili zetu wenyewe bila kuweka ushabiki wa kisiasa mbele. Je, hili suala la Utumbuaji/Teuzi/Tenguzi serikalini kila leo katika serikali ya awamu ya tano kunaleta picha gani?
Je, waTanzania wengi hata waliosoma (cc PhD zilizotumbuliwa) hawana weledi na hizo nafasi ?
na/au
Je, waTanzania wengi ni wabinafsi/mafisadi wakipewa nyadhifa?
na/au
Je, 'Dereva' ndiye mwenye 'matatizo'?
na/au
Je, watu kutoka Chama tawala (wanaCCM) ni hovyo?? (cc Wapinzani walioteuliwa, je, kuna aliyetumbuliwa??)
na/au
Je, waTanzania tu kiujumla si wachapakazi?
na/au
Je, 'upigaji' ndio utamaduni wetu?
Tatizo ni nini hasa kwa mtazamo wako??
Kumbuka: Kugundua tatizo ni mwanzo wa kupata suluhisho la tatizo hilo.
Naomba tujadili hii mada kwa kuongozwa na akili zetu wenyewe bila kuweka ushabiki wa kisiasa mbele. Je, hili suala la Utumbuaji/Teuzi/Tenguzi serikalini kila leo katika serikali ya awamu ya tano kunaleta picha gani?
Je, waTanzania wengi hata waliosoma (cc PhD zilizotumbuliwa) hawana weledi na hizo nafasi ?
na/au
Je, waTanzania wengi ni wabinafsi/mafisadi wakipewa nyadhifa?
na/au
Je, 'Dereva' ndiye mwenye 'matatizo'?
na/au
Je, watu kutoka Chama tawala (wanaCCM) ni hovyo?? (cc Wapinzani walioteuliwa, je, kuna aliyetumbuliwa??)
na/au
Je, waTanzania tu kiujumla si wachapakazi?
na/au
Je, 'upigaji' ndio utamaduni wetu?
Tatizo ni nini hasa kwa mtazamo wako??
Kumbuka: Kugundua tatizo ni mwanzo wa kupata suluhisho la tatizo hilo.