matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,544
- 15,215
Zamani ilikuwa ni ugomvi.
Mama ntilie tu na migambo wa jiji ilikuwa ni vita.
Nashangaa awamu hii, wamekuwa wapendwa, waungwana, nimeona kwa pamoja kwenye ukuta wa Mtaa wa uhuru wakitoa wenyewe bila hata kufukuzwa.
Wakatoa mbaombao wakifuata utaratibu waliopewa.
Aliyebuni hii mbinu anaakili nyingi sana.
Apandishwe cheo.
Amefaulu kama alivyofaulu Makamba enzi za mifuko ya plastic.
hata kama baadae wakileta fujo, ila sasa wanafanya vizuri.
Mama ntilie tu na migambo wa jiji ilikuwa ni vita.
Nashangaa awamu hii, wamekuwa wapendwa, waungwana, nimeona kwa pamoja kwenye ukuta wa Mtaa wa uhuru wakitoa wenyewe bila hata kufukuzwa.
Wakatoa mbaombao wakifuata utaratibu waliopewa.
Aliyebuni hii mbinu anaakili nyingi sana.
Apandishwe cheo.
Amefaulu kama alivyofaulu Makamba enzi za mifuko ya plastic.
hata kama baadae wakileta fujo, ila sasa wanafanya vizuri.