Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Kwa hili la Machinga serikali wameukandamiza mwingi! Now kubwa lililobaki ni kutengeneza mazingira ya watu kufanya siasa ya kistaarabu na uhuru bila mikwaruzano na vyombo vya Dola, kutukanana, kuzushiana uongo na kupigana! Udokozi wa kura nao ukomeshwe