RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 337
- 113
salaam wakuu
kwa wataalamu wa umeme naomba mnisaidie hili: kama tunavyofahamu umeme wetu wa majumbani kwa hapa tanzania ni kati ya 220v-250v (sina takwimu sahihi mtanisaidia) lakini kuna mashine inayotumia umeme nimeagiza nje na wameelekeza umeme unaotakiwa ni 120v, hata hivyo nimeunganisha kwa umeme wa hapa imekubali kufanya kazi lakini nauliza hii haiwezi kuwa tatizo ikapelekea labda hii mashine kuungua?
kwa wataalamu wa umeme naomba mnisaidie hili: kama tunavyofahamu umeme wetu wa majumbani kwa hapa tanzania ni kati ya 220v-250v (sina takwimu sahihi mtanisaidia) lakini kuna mashine inayotumia umeme nimeagiza nje na wameelekeza umeme unaotakiwa ni 120v, hata hivyo nimeunganisha kwa umeme wa hapa imekubali kufanya kazi lakini nauliza hii haiwezi kuwa tatizo ikapelekea labda hii mashine kuungua?