Je utoaji wa mikopo ya awamu ya pili imekidhi hitaji la mtanzania

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Mwezi uliopita baadhi ya wanafunzi waliokosa mikopo waliandamana,serikali ikatoa mikopo kwa mara ya pili,lakini wapo wanafunzi wengi wenye sifa na wameachwa serikali ikidai bajeti haitoshi,na mimi kama mpembuzi sijaona uthibitisho kua serikali bajeti haitoshi, je wadau ni kweli kua bajeti haitoshi ama ni utendaji wa siasa na maendeleo ,naomba mwongozo wenu, unaweza ukachangia kwa meseji ila usibipu 0712336687.
 
nipate feed back,communication needs to be effective.sijanuunua komputa yangu.nipo cafe
 
Umesema huamini kama bajeti ya serikali haitoshi kivp?tupe hzo evidence ili tuzichambue?kwan unafanya research?
 
Nitafahamu kua Nchi yetu inapiga hatua ya maendeleo.kwa ufafanuzi zaidi nenda library ukasome magazeti ya mwezi uone watanzania wenye kiu na elimu wanavyoresponce
 
Sisi kama wasomi lazima tujue nchi yetu inapiga hatua ya kimaendeleo,so suala la kukaa na kuridhika
 
Akili ninazo ndo mana nipo chuo kikuu,natoa hoja
 
Watu hatujapata mikopo huku afu we unafanya masiara
 
Watu hatujapata mikopo huku afu we unafanya masiara
Ndugu yangu, unajua safari hii body wamezingatia uwezo na vipaumbele, kama unasomea ualimu, sayanzi ya kilimo, udaktari lazima utapata mkopo, ila sasa kama takwimu zako zinaonesha umesoma shule za hela kuanzia chekechea hadi kidato cha sita maanake una uwezo wa kujilipia chuo. mimi nadhani is a good Idea.
 
Ndugu yangu, unajua safari hii body wamezingatia uwezo na vipaumbele, kama unasomea ualimu, sayanzi ya kilimo, udaktari lazima utapata mkopo, ila sasa kama takwimu zako zinaonesha umesoma shule za hela kuanzia chekechea hadi kidato cha sita maanake una uwezo wa kujilipia chuo. mimi nadhani is a good Idea.

ebu peleka haya matapishi yako kwa hao wajinga wenzio huko huko bodi na co humu jf.
 
Wewe Bumija unajua kuandika vichwa vizuri kwe uzi,tatizo lako liko katika kutoa maelezo yani una mbwela kweli,wewe umefanya tafiti kuhusu bajeti ya wizara husika? Kama ukijua taifa linasonga nyuma badala ya mbele utalifanyia nini hilo tatizo? Wewe bado bwana mdogo soma achana na mizigo ya taifa wakati ya chuo kuibeba inakuzingua.

Kabla ujabadilisha maisha ya mwenzio hakikisha umebadilisha ya kwako,fanya mabadiliko chuoni kwako kwanza maana kuna mapungufu mengi sana.KUHUSU HOJA YA MKOPO FATA HII SYSTEM "SEE,JUDGE AND ACT" mmeshajaji vya kutosha huu ni mda wa ku-act.
 
kama bajeti haitoshi then wanavyokomaa na malipo ya dowans bajeti ipi itatumika?
 
Back
Top Bottom