Hapana sio kupanda wala kushuka ni kazi maalumu tu!Siunajua kwamba nchi hii inaenda kimaslahi na kidini zaidi so jamaa kaona pale kuna maslahi na kijana ni muislamu ameona ngoja aoneshe nguvu ya dini kwenye idara ya mahakama au huelewi hata picha ya mahakama huioni?Juzi Mhe. J.Kikwete alimteua H.Katanga kuwa mtendaji mkuu wa idara ya mahakama nchini kutoka kuwa Katibu mkuu TAMISEMI, je uteuzi huu ni kushushwa cheo,kupanda au ni cheo sawa?
Nawaombeni kujuzwa katika hilo
Sawa tumekusikiaHusein ana sifa nzuri na hasumbuliwi na siasa za aina yoyote na zaidi itikadi yake imemtawala kiroho lakini anajitambua kuwa kazini kwake ni Katiba ya nchi. Congrats Mh. Rais, wacha kijana akachape kazi pale Mahakama.
Amepaa zaidi kwani yeye anaongoza Muhimili wa nchi, Tamisemi iko chini ya Balozi Sefue, Bunge. Dkt.Tommy Kashilila na sasa Mahakama ni Alhaj Hussein Katanga.
Wakristo wenzangu, tuwe wakweli hapo hakuna udini bali kazi.....pale Mahakama pagumu sana.......Katanga prove them wrong Bro.
Leo hii ameteulewa kuwa balozi, kutokea Katibu Mtendaji wa Mahakama, Je hapo ni kupanda au kushuka!?Juzi Mhe. J.Kikwete alimteua H.Katanga kuwa mtendaji mkuu wa idara ya mahakama nchini kutoka kuwa Katibu mkuu TAMISEMI, je uteuzi huu ni kushushwa cheo,kupanda au ni cheo sawa?
Nawaombeni kujuzwa katika hilo
Umejiridhisha kwamba alikuwa ni Katibu Mtendaji wa mahakama?Leo hii ameteulewa kuwa balozi, kutokea Katibu Mtendaji wa Mahakama, Je hapo ni kupanda au kushuka!?
Kashaula tena hukoSawa tumekusikia
Huyo ya nasikia ni mwizi sana kafanya ufisadi sana Hapo mahakamaLeo hii ameteulewa kuwa balozi, kutokea Katibu Mtendaji wa Mahakama, Je hapo ni kupanda au kushuka!?
Mtendaji Mkuu wa MahakamaUmejiridhisha kwamba alikuwa ni Katibu Mtendaji wa mahakama?
Unasikia????Huyo ya nasikia ni mwizi sana kafanya ufisadi sana Hapo mahakama
Inakuaje kafanya ufisadi Mahakamani,Huyo ya nasikia ni mwizi sana kafanya ufisadi sana Hapo mahakama
Kwani mahakamani ni mbinguni ufisadi usiwepoInakuaje kafanya ufisadi Mahakamani,
Kwa mujibu wako!!,
Afu Rais anamteuwa tena??
Kwa nini??
Na Rais huwa anawaondoa watu wakihusisha na ufisadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu kirahisi sanaKwani mahakamani ni mbinguni ufisadi usiwepo
Hussein KatangaJuzi Mhe. J.Kikwete alimteua H.Katanga kuwa mtendaji mkuu wa idara ya mahakama nchini kutoka kuwa Katibu mkuu TAMISEMI, je uteuzi huu ni kushushwa cheo,kupanda au ni cheo sawa?
Nawaombeni kujuzwa katika hilo