Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
Habari wakuu.
Hivi umeajiriwa na Serikali unacheleweshewa mshahara ukiuliza wanasema ndio wamerequest application for check no. Umeshahakiki kila kitu ndo umeniajiri how come unanicheleweshea mshahara kwa kigezo cha check no.
Swali ni je ni inachukua muda gani na kigezo kipi kinqangaliwa mtu apate check no. Asanteni
Hivi umeajiriwa na Serikali unacheleweshewa mshahara ukiuliza wanasema ndio wamerequest application for check no. Umeshahakiki kila kitu ndo umeniajiri how come unanicheleweshea mshahara kwa kigezo cha check no.
Swali ni je ni inachukua muda gani na kigezo kipi kinqangaliwa mtu apate check no. Asanteni