Hili swala la DECI halifichiki kabisa .kama kweli hakuna mkono wa serikali hapo kwanini pesa walizochukuwa hawajazirudisha.
kama ndivyo Rais mbona hajawahi kutolea tamko ?
Je hafahamu kwamba watu wa hali ya chini ndio walioumia?
Nakubalia kabisa DECI ni kombora la Dr SLAA ili wananchi wapate pesa zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.