"Je utakubali kuolewa na mimi?"

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,315
33,109
what-love-feels-like.jpg

"Je utakubali kuolewa na mimi?"

Mwanamme Akamuuliza mpenzi wake ambae ni mtarajiwa wake katika ndoa.

Mwanamke akainua kinywa chake kutaka kuzungumza lakini mwanaume akamzuia na kumwambia yafuatayo;

Akamwambia kabla hujanipa jibu lako, naomba uelewe kabisa ni nini nachokimaanisha na nini haswa kipo katika mahusiano ya ndoa.

Niwe mkweli kwako;

Ninakuomba uje kuwa mke wangu wa ndoa, katika Ndoa mapenzi huwa ni daraja jingine kabisa maana huko kuna nafasi nyingi zaidi za kuonesha upendo kati yetu.

Nitakufanya kama malkia wangu, nitakupenda siku zote, na utakuwa kipaumbele changu.

Mwanaume akamshika mkono mwanamke wake na kuendelea kumwambia, "Lakini unapaswa kutambua kwamba katikati ya ndoa yetu kutakua na misuguano na mikwaruzano ya hapa na pale, mimi sio mkamilifu asilimia 100.

Ninaweza nikakuudhi mara kadhaa, ninaweza kukusababishia hasira, haijalishi ni kiasi gani nitakukosea naomba tu utambue kuwa kukusoma na kukuelewa wewe ni somo endelevu.

Mimi na wewe tumekutana ukubwani, tumelelewa katika familia tofauti. Lazima tu nitakuwa na baadhi ya vitu usivyovipenda. Nivumilie!

Ndio maana siku zote namuomba Mungu azidi kunifunza kukupenda wewe!

Mwanamke akamtizama mwanaume wake kwa macho ya upendo!

Mwanaume akaendela, "vitu vingi sana utavitarajia kwangu nikiwa kama mume wako. Nitakuwa kichwa cha nyumba, nitahitajika kutunza familia na kuiongoza vema, lakini lazima kutakuwa na siku njema na mbaya.

Katika siku mbaya, nifariji, nipe moyo, niamini mimi, nikumbatie na uwe nguzo yangu. Nitafute pale nitakapopotea, nisamehe pale nitakapokosea.

Lakini kama unaona nakuomba vitu vingi basi usikubali kuolewa na mimi. Nataka niwe mkweli kwako kabla hatujaingia katika Ndoa.

Mwanamke akamkisi mwanaume wake katika paji la uso na kumwambia yafuatayo;

"kabla sijakubali proposal yako ya kunioa naomba na mimi niwe mkweli kwako. Nakupenda na ninafahamu ni nini maana ya upendo.

Upendo hauhesabu mabaya, upendo husamehe, upendo huvumilia. Ningeweza kuwa single maisha yangu yote lakini sicho kitu ambacho nilikihitaji.

Ninachokihitaji ni wewe tu!

Nahitaji mapenzi kutoka kwako, nitakupenda hata kipindi kibaya katika maisha. Nina moyo ambao umejazwa upendo, na ninahitaji sana niutumie kwako."

Mwanamke akamtizama mwanaume wake na kuendelea kumwambia;

"Ninakupenda jinsi ulivyo, mali na fedha tutazitafuta pamoja furaha na amani niliyonayo ni mtaji tosha.

Nafurahi kwa kuwa umesema utajifunza kuishi na mimi, basi nami pia nitajifunza kuishi na wewe.

Katika ndoa, naweza nikasema mambo ya kuudhi na kufanya yale ya kuudhi, naweza nikawa sina mood muda mwingine, naweza nikawa nimechoka, na kuhitaji muda kidogo peke yangu. Hiyo haitamaanisha sikupendi tena la hasha ni darasa tu la kujifunza kuishi pamoja."

Muda mwingine naweza nikahangaika kubalance kuwa mke, mama, binti wa wazazi wangu, mfanyakazi ofisini na dada wa ndugu zangu, naomba nivumilie kwa hilo na unielewe pia."

Nipende, nijali, niheshimu, nivumilie hata pale nitakapovaa gauni la ujauzito kama Mungu akitujaalia, nami nitakupenda siku zote."

Mwanamke akafumba macho na kufungua kuendelea kuongea "itakuwa ndoto yangu imekamilika kuishi na wewe, mfalme wangu. Mwalimu wangu na mwanafunzi wangu vilevile. Sihitaji kuwa peke yangu, nahitaji kuwa na wewe.

Nahitaji kuwa mke mwema kwako.

Kwa kujiamini kabisa nakujibu Ndio nitakubali kuolewa na wewe"
 
View attachment 331032
"Je utakubali kuolewa na mimi?"

Mwanamme Akamuuliza mpenzi wake ambae ni mtarajiwa wake katika ndoa.

Mwanamke akainua kinywa chake kutaka kuzungumza lakini mwanaume akamzuia na kumwambia yafuatayo;

Akamwambia kabla hujanipa jibu lako, naomba uelewe kabisa ni nini nachokimaanisha na nini haswa kipo katika mahusiano ya ndoa.

Niwe mkweli kwako;

Ninakuomba uje kuwa mke wangu wa ndoa, katika Ndoa mapenzi huwa ni daraja jingine kabisa maana huko kuna nafasi nyingi zaidi za kuonesha upendo kati yetu.

Nitakufanya kama malkia wangu, nitakupenda siku zote, na utakuwa kipaumbele changu.

Mwanaume akamshika mkono mwanamke wake na kuendelea kumwambia, "Lakini unapaswa kutambua kwamba katikati ya ndoa yetu kutakua na misuguano na mikwaruzano ya hapa na pale, mimi sio mkamilifu asilimia 100.

Ninaweza nikakuudhi mara kadhaa, ninaweza kukusababishia hasira, haijalishi ni kiasi gani nitakukosea naomba tu utambue kuwa kukusoma na kukuelewa wewe ni somo endelevu.

Mimi na wewe tumekutana ukubwani, tumelelewa katika familia tofauti. Lazima tu nitakuwa na baadhi ya vitu usivyovipenda. Nivumilie!

Ndio maana siku zote namuomba Mungu azidi kunifunza kukupenda wewe!

Mwanamke akamtizama mwanaume wake kwa macho ya upendo!

Mwanaume akaendela, "vitu vingi sana utavitarajia kwangu nikiwa kama mume wako. Nitakuwa kichwa cha nyumba, nitahitajika kutunza familia na kuiongoza vema, lakini lazima kutakuwa na siku njema na mbaya.

Katika siku mbaya, nifariji, nipe moyo, niamini mimi, nikumbatie na uwe nguzo yangu. Nitafute pale nitakapopotea, nisamehe pale nitakapokosea.

Lakini kama unaona nakuomba vitu vingi basi usikubali kuolewa na mimi. Nataka niwe mkweli kwako kabla hatujaingia katika Ndoa.

Mwanamke akamkisi mwanaume wake katika paji la uso na kumwambia yafuatayo;

"kabla sijakubali proposal yako ya kunioa naomba na mimi niwe mkweli kwako. Nakupenda na ninafahamu ni nini maana ya upendo.

Upendo hauhesabu mabaya, upendo husamehe, upendo huvumilia. Ningeweza kuwa single maisha yangu yote lakini sicho kitu ambacho nilikihitaji.

Ninachokihitaji ni wewe tu!

Nahitaji mapenzi kutoka kwako, nitakupenda hata kipindi kibaya katika maisha. Nina moyo ambao umejazwa upendo, na ninahitaji sana niutumie kwako."

Mwanamke akamtizama mwanaume wake na kuendelea kumwambia;

"Ninakupenda jinsi ulivyo, mali na fedha tutazitafuta pamoja furaha na amani niliyonayo ni mtaji tosha.

Nafurahi kwa kuwa umesema utajifunza kuishi na mimi, basi nami pia nitajifunza kuishi na wewe.

Katika ndoa, naweza nikasema mambo ya kuudhi na kufanya yale ya kuudhi, naweza nikawa sina mood muda mwingine, naweza nikawa nimechoka, na kuhitaji muda kidogo peke yangu. Hiyo haitamaanisha sikupendi tena la hasha ni darasa tu la kujifunza kuishi pamoja."

Muda mwingine naweza nikahangaika kubalance kuwa mke, mama, binti wa wazazi wangu, mfanyakazi ofisini na dada wa ndugu zangu, naomba nivumilie kwa hilo na unielewe pia."

Nipende, nijali, niheshimu, nivumilie hata pale nitakapovaa gauni la ujauzito kama Mungu akitujaalia, nami nitakupenda siku zote."

Mwanamke akafumba macho na kufungua kuendelea kuongea "itakuwa ndoto yangu imekamilika kuishi na wewe, mfalme wangu. Mwalimu wangu na mwanafunzi wangu vilevile. Sihitaji kuwa peke yangu, nahitaji kuwa na wewe.

Nahitaji kuwa mke mwema kwako.

Kwa kujiamini kabisa nakujibu Ndio nitakubali kuolewa na wewe"

Ngoja ni summarize then namfarijia wife MziziMkavu
 
View attachment 331032
"Je utakubali kuolewa na mimi?"

Mwanamme Akamuuliza mpenzi wake ambae ni mtarajiwa wake katika ndoa.

Mwanamke akainua kinywa chake kutaka kuzungumza lakini mwanaume akamzuia na kumwambia yafuatayo;

Akamwambia kabla hujanipa jibu lako, naomba uelewe kabisa ni nini nachokimaanisha na nini haswa kipo katika mahusiano ya ndoa.

Niwe mkweli kwako;

Ninakuomba uje kuwa mke wangu wa ndoa, katika Ndoa mapenzi huwa ni daraja jingine kabisa maana huko kuna nafasi nyingi zaidi za kuonesha upendo kati yetu.

Nitakufanya kama malkia wangu, nitakupenda siku zote, na utakuwa kipaumbele changu.

Mwanaume akamshika mkono mwanamke wake na kuendelea kumwambia, "Lakini unapaswa kutambua kwamba katikati ya ndoa yetu kutakua na misuguano na mikwaruzano ya hapa na pale, mimi sio mkamilifu asilimia 100.

Ninaweza nikakuudhi mara kadhaa, ninaweza kukusababishia hasira, haijalishi ni kiasi gani nitakukosea naomba tu utambue kuwa kukusoma na kukuelewa wewe ni somo endelevu.

Mimi na wewe tumekutana ukubwani, tumelelewa katika familia tofauti. Lazima tu nitakuwa na baadhi ya vitu usivyovipenda. Nivumilie!

Ndio maana siku zote namuomba Mungu azidi kunifunza kukupenda wewe!

Mwanamke akamtizama mwanaume wake kwa macho ya upendo!

Mwanaume akaendela, "vitu vingi sana utavitarajia kwangu nikiwa kama mume wako. Nitakuwa kichwa cha nyumba, nitahitajika kutunza familia na kuiongoza vema, lakini lazima kutakuwa na siku njema na mbaya.

Katika siku mbaya, nifariji, nipe moyo, niamini mimi, nikumbatie na uwe nguzo yangu. Nitafute pale nitakapopotea, nisamehe pale nitakapokosea.

Lakini kama unaona nakuomba vitu vingi basi usikubali kuolewa na mimi. Nataka niwe mkweli kwako kabla hatujaingia katika Ndoa.

Mwanamke akamkisi mwanaume wake katika paji la uso na kumwambia yafuatayo;

"kabla sijakubali proposal yako ya kunioa naomba na mimi niwe mkweli kwako. Nakupenda na ninafahamu ni nini maana ya upendo.

Upendo hauhesabu mabaya, upendo husamehe, upendo huvumilia. Ningeweza kuwa single maisha yangu yote lakini sicho kitu ambacho nilikihitaji.

Ninachokihitaji ni wewe tu!

Nahitaji mapenzi kutoka kwako, nitakupenda hata kipindi kibaya katika maisha. Nina moyo ambao umejazwa upendo, na ninahitaji sana niutumie kwako."

Mwanamke akamtizama mwanaume wake na kuendelea kumwambia;

"Ninakupenda jinsi ulivyo, mali na fedha tutazitafuta pamoja furaha na amani niliyonayo ni mtaji tosha.

Nafurahi kwa kuwa umesema utajifunza kuishi na mimi, basi nami pia nitajifunza kuishi na wewe.

Katika ndoa, naweza nikasema mambo ya kuudhi na kufanya yale ya kuudhi, naweza nikawa sina mood muda mwingine, naweza nikawa nimechoka, na kuhitaji muda kidogo peke yangu. Hiyo haitamaanisha sikupendi tena la hasha ni darasa tu la kujifunza kuishi pamoja."

Muda mwingine naweza nikahangaika kubalance kuwa mke, mama, binti wa wazazi wangu, mfanyakazi ofisini na dada wa ndugu zangu, naomba nivumilie kwa hilo na unielewe pia."

Nipende, nijali, niheshimu, nivumilie hata pale nitakapovaa gauni la ujauzito kama Mungu akitujaalia, nami nitakupenda siku zote."

Mwanamke akafumba macho na kufungua kuendelea kuongea "itakuwa ndoto yangu imekamilika kuishi na wewe, mfalme wangu. Mwalimu wangu na mwanafunzi wangu vilevile. Sihitaji kuwa peke yangu, nahitaji kuwa na wewe.

Nahitaji kuwa mke mwema kwako.

Kwa kujiamini kabisa nakujibu Ndio nitakubali kuolewa na wewe"
Asee mke ana busara huyu daah naweza kumuibia huyo jamaa.maana linalonilazmisha kulioa haliwez kuongea point hzo yaan bora ukosee kujenga klk uoe mwanamke zero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom