mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Wazima wana jamviiiiiiii?????!!!!!!????
Kuna rafiki yangu ana mtoto wa nje ya ndoa, huyu mtoto amezalia baada ya yenye kuwa ameshaoa,yule mwanamke aliye mzalia huyu mtoto wake anataka kumpa jamaa mtoto wake naye amlee kwakuwa hana uwezo wa kumpa basic needs huyo mtoto. Embu jamani okoeni jahazi huku maana jamaa anashindwa jinsi ya kumuambia mkewe. Acheni kejeri hii ni serious matter
Kuna rafiki yangu ana mtoto wa nje ya ndoa, huyu mtoto amezalia baada ya yenye kuwa ameshaoa,yule mwanamke aliye mzalia huyu mtoto wake anataka kumpa jamaa mtoto wake naye amlee kwakuwa hana uwezo wa kumpa basic needs huyo mtoto. Embu jamani okoeni jahazi huku maana jamaa anashindwa jinsi ya kumuambia mkewe. Acheni kejeri hii ni serious matter