Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
Hajaamua tu hakuna cha wakati mgumu hapo! kwangu my kids first!
Ww unaongea 2,sio rahic km unavyofikiria!km ingekuwa rahic kuacha mke acngepata wakati mgum wa jins ya kumwambia!
Dam nzito kitu gani?ndo akae kawa mama yake,kwanza mtt mama na sio baba