Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Yan the same case imenikumba mpaka sasa sielewi ntamwanzaje kumueleza mke wangu
Ulitakiwa uwaze kabla hujamtafuta huyo bidada wa pembeni.
Yan the same case imenikumba mpaka sasa sielewi ntamwanzaje kumueleza mke wangu
Inawezekana jamaa alimwambia mkewe hizi habari wakiwa sebuleni. Sisi wanawake huwa tunasikia na kuelewa vizuri pale tunapoambiwa tukiwa kitandani tu. Mwambie jamaa yako abadali strategy mama atalainika tu.
huyo wife anahasira kwasasa ila akitulia atamkubali tu huyo mtoto.......
mtoto wa mwanamke mwenzio ni mtoto wako.
umenena..mambo ya kulelewa mtoto na mtu mwingine wakati wewe upo hai na mwenye afya tele hata siyapendi.
mdada abaki na mwanae baba apeleke matumizi.
si unajua za mwizi arobaini.Only kama alizaliwa kabla hatujaoana,kama walijiona wajanja wakamtafuta kwa siri wanashindwaje ku maintain usiri kwenye kumlea?
wanaume wengine wanavua pete zao so ukute mdada amegundua jamaa kaoa ndo anataka akamwaribie na yeye kwa wife wake.Huyo mama mtoto anataka kuvuruga tu ndoa ya mwenzie,alikubali vp kuwa na uhusiano wa siri leo anataka mtoto akakae kwa baba! Na hatoishia hapo mtoto akipokelewa atataka aende kila wiki kumuona na nyodo kwa mwenzie. Ana lake jambo huyo.
Inawezekana jamaa alimwambia mkewe hizi habari wakiwa sebuleni. Sisi wanawake huwa tunasikia na kuelewa vizuri pale tunapoambiwa tukiwa kitandani tu. Mwambie jamaa yako abadali strategy mama atalainika tu.
Wazima wana jamviiiiiiii?????!!!!!!????
Kuna rafiki yangu ana mtoto wa nje ya ndoa, huyu mtoto amezalia baada ya yenye kuwa ameshaoa,yule mwanamke aliye mzalia huyu mtoto wake anataka kumpa jamaa mtoto wake naye amlee kwakuwa hana uwezo wa kumpa basic needs huyo mtoto. Embu jamani okoeni jahazi huku maana jamaa anashindwa jinsi ya kumuambia mkewe. Acheni kejeri hii ni serious matter
wanaume wengine wanavua pete
zao so ukute mdada amegundua jamaa kaoa ndo anataka akamwaribie na yeye
kwa wife wake.
umenena..mambo ya kulelewa mtoto na mtu mwingine wakati wewe upo hai na mwenye afya tele hata siyapendi.
mdada abaki na mwanae baba apeleke matumizi.
umenena..mambo ya kulelewa mtoto na mtu mwingine wakati wewe upo hai na mwenye afya tele hata siyapendi.
mdada abaki na mwanae baba apeleke matumizi.
damu nzito ndo apeleke matumizi , mtoto alelewe na mama na wewe uendelee na maisha yako.Huyo mtu aangalie kati ya mke na mtoto/watoto nani ana ukaribu naye zaidi?
Damu ni nzito kuliko Maji bana! kama vipi lete mtoto, mama niaje alale
mbele. atapatikana mwingine mwenye utayari kuwalea wote mpaka wa kwake!
Inawezekana jamaa alimwambia mkewe hizi habari wakiwa sebuleni. Sisi wanawake huwa tunasikia na kuelewa vizuri pale tunapoambiwa tukiwa kitandani tu. Mwambie jamaa yako abadali strategy mama atalainika tu.
Amchukue ampeleke kwenye kituo cha watoto yatima.....then baada ya mwezi apitie hapo na wife amchukue!
Huyo mtu aangalie kati ya mke na mtoto/watoto nani ana ukaribu naye zaidi?
Damu ni nzito kuliko Maji bana! kama vipi lete mtoto, mama niaje alale
mbele. atapatikana mwingine mwenye utayari kuwalea wote mpaka wa kwake!