MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Salam Wakuu
Wakati nipo kidato cha pili,siku 1 nikiwa napita mahala kuna mto mdogo/ korongo lenye maji usiku wa saa 3 niliona kitu Kama mtu mfupi Sana kipo mbele yangu kikiwa kimevaa nguo nyeupe.
Sikupoteza muda kukitazama niligeuza na kutoka speed mia na kitu, Mara nikadondoka,ile kucheki nyuma nikaona Kama kanakuja,niliinuka japo nilichubuka mikononi na magoti lakini nilitoka speed ya hatari sana mpaka home.
Sina uhakika mpaka leo Kama kweli kilikuwa ni kibwengo au laah! Kwasababu Mara nyingi tumekuwa tukisikia habari za watu kukutana na viumbe hawa, nini uzoefu wako katika hawa viumbe?
Je, ushawahi kutana nao? Wapi na muda gani? Ulifanyaje? Kwanini uliamini ulichokutana nacho ni kibwengo/ jini?
Wakati nipo kidato cha pili,siku 1 nikiwa napita mahala kuna mto mdogo/ korongo lenye maji usiku wa saa 3 niliona kitu Kama mtu mfupi Sana kipo mbele yangu kikiwa kimevaa nguo nyeupe.
Sikupoteza muda kukitazama niligeuza na kutoka speed mia na kitu, Mara nikadondoka,ile kucheki nyuma nikaona Kama kanakuja,niliinuka japo nilichubuka mikononi na magoti lakini nilitoka speed ya hatari sana mpaka home.
Sina uhakika mpaka leo Kama kweli kilikuwa ni kibwengo au laah! Kwasababu Mara nyingi tumekuwa tukisikia habari za watu kukutana na viumbe hawa, nini uzoefu wako katika hawa viumbe?
Je, ushawahi kutana nao? Wapi na muda gani? Ulifanyaje? Kwanini uliamini ulichokutana nacho ni kibwengo/ jini?