Nina swali moja tu. Ukizingatia dunia ya siku hizi inafanya kazi pamoja kuanzia teknologia tunazotumia , thamani ya pesa ya nchi, biashara na uwekezaji. Unaweza ukawa msomi lakini huelewi dunia inaenda vipi kwasababu umekuwa umezungukwa na watu ambao hawajui zaidi yako, hawajui dunia inavyoenda ingawa wanajua sana habari na watu wa vijijini na shida zao.
Je ushamba ni tatizo kwenye uongozi? na hii inapunguza vitu jitihada za kimaendeleo?
Je ushamba ni tatizo kwenye uongozi? na hii inapunguza vitu jitihada za kimaendeleo?