rbsharia
Member
- Sep 14, 2011
- 41
- 6
"Hii itasaidia kupandisha heshima, utiifu, ukakamavu na ufanisi wa vijana"
Ni kauli ya mheshimiwa mmoja kufuatia Serikali kutangaza tena na kuthibitisha kuwa, kuanzia mwaka huu ni lazima kwa kila kijana atakayemaliza form VI apitie JESHI kisha ndio aende chuoni au aendelee na mambo mengine ya kujijenga na kulijenga Taifa la Tanzania.
Hapo imekaaje? KARIBUNI UWANJA NI WETU SOTE KUJADILI kama kawaida yetu.
Ni kauli ya mheshimiwa mmoja kufuatia Serikali kutangaza tena na kuthibitisha kuwa, kuanzia mwaka huu ni lazima kwa kila kijana atakayemaliza form VI apitie JESHI kisha ndio aende chuoni au aendelee na mambo mengine ya kujijenga na kulijenga Taifa la Tanzania.
Hapo imekaaje? KARIBUNI UWANJA NI WETU SOTE KUJADILI kama kawaida yetu.