Je, upo tayari kutoka Mwanza kwenda Tabora manispaa?

shyja

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
410
61
Habari za majukumu? Naomba niwe specific, ni kwamba kama kuna mwalimu anaetaka au kupenda kufundisha mkoani Tabora (Milambo), na hivi sasa yupo Mwanza.

Nadhani hii itakuwa ni fursa kwake na kwa anaetaka kubadilishana vituo vya kazi. Ikiwa upo tayari, tafadhari nitumie PM ili mawasiliano zaidi yafanyike. Ahsante kwa busara zako kusoma hii post bila kutoa lugha chafu wala matusi. Karibu.
 
Hivi uhamisho wa kubadilishana au uhamisho kwa ujumla haujazuiliwa? Naomba kuuliza maana nimechanganyikiwa hapa,kila MTU anasema yake
 
Hivi uhamisho wa kubadilishana au uhamisho kwa ujumla haujazuiliwa? Naomba kuuliza maana nimechanganyikiwa hapa,kila MTU anasema yake
Kuhusu hilo sina uhakika. Napeleleza uongozini afu nitarejesha majibu nitayoyapata. Nipe muda kidogo tafadhari
 
Habari za majukumu? Naomba niwe specific, ni kwamba kama kuna mwalimu anaetaka au kupenda kufundisha mkoani tabora (Milambo), na hivi sasa yupo Mwanza, basi nadhani hii itakuwa ni fursa kwake na kwa anaetaka kubadilishana vituo vya kazi. Ikiwa upo tayari, tafadhari nitumie PM ili mawasiliano zaidi yafanyike. Ahsante kwa busara zako kusoma hii post bila kutoa lugha' chafu wala matusi. Karibu.
Nimechelewa ila samahani ninahitaji hasaa
 
Back
Top Bottom