Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,703
- 2,359
Naomba ujitasmini kisha toa jibu kutoka ndani ya uvungu wa moyo wako
Kazi njema
Kazi njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHajahahahahah
Mkuu joseverest tumekusoma kumbee
Ongera basi ww n wife material...ntakutafutaNdio.
Eeeh.... nakujua wwKabisaa..
jaman, pole sanaWakike hapana ataonewa onewa but natamani kijana wangu apate mke mwenye tabia kama zangu,mwema kama mimi,atakayempenda,kumweshimu na kumjali as I am to his father.....mwanangu wakike natamani awe sister tu si kwa maumivu niliyopitia ktk mahusiano
Hapo ni Noo tu50-50
Because mi mwenyewe sometimes Yes sometimes No
Ongera..... hemu weka picha yako mkuuNdio 100%
Hayo maoni yako. Ya kwangu ni hivyo.Hapo ni Noo tu