chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,955
- 20,526
Je uongozi huu unalinda haki zako za kikatiba?2020 utapigia kura serikali ambayo ukipost neno mitandaoni kuikosoa inakukamata?uko tayari kupigia kura kifungo chako cha jela ambacho kitakutenga na familia yako?uko tayari kuipigia kura serikali ambaye imekataa wewe mwananchi usisikilize bunge lako na mbunge wako?uko tayari kuipigia kura serikali ambayo imekataa kuteua jaji mkuu kwa karibu mwaka ?uko tayari kuipigia kura serikali inayominya Uhuru wa habari?
Tafakari sana kabla hujapiga kura yako,you might be next,vita haina macho,chagua serikali itakayokuheshimu na kukuthamini utu na haki zako,usifate mkumbo,kura yako ni muhimu
Je uongozi huu unalinda ajira yako?uko tayari upigie kura watu ambao watafukuza kazi watanzania 10,000 kwa mpigo? Je 2020 ukiwapigia kura,INA uhakika utakuwa salama au ndio itakuwa umesaini hati ya kufukuzwa kazi? Je utapiga kura CCM ili ufukuzwe kazi jukwaani na kudhalilishwa?je utapigia kura ccm ili unyimwe ongezeko la mshahara bila sababu? Je 2020 utapiga kura ccm ili wakuu wa wilaya na mikoa wakushambulie mbele ya jamii?
Ewe mfanyakazi,itafakari kwa umakini kura yako ya 2020
Je uongozi huu unalinda biashara na uwekezaji wako? Je serikali inajali uchumi wako au inakubeza na kufurahia unapoanguka kibiashara?Serikali isiyovutia uwekezaji wa matrilioni kwa kigezo eti wakisafiri watatumia milioni 100,kwa hiyo bora wasiende kuvutia uwekezaji wa trilioni moja ili waokoe milioni mia kama gharama za safari
Kijana,umeona Sera yoyote inayoakisi ndoto zako? Mkuu wetu umeshasikia akiongea na vijana na kuwasikiliza ndoto zao?anajua kwamba una shida ya ajira?kama anajua kwa nini anakuimbia wimbo wa uhakiki?hajui una majukumu na inahitaji kujitegemea? Kwa nini hakujali?ukimpa kura 2020 unadhani atabadilika?
Kijana,usizame kwenye ushabiki,kura ina maana sana,tena kubwa,ona kura yako ilivyokugharimu,miaka inafika mitatu uliowapa kura wamegoma kukuajiri,unadhani 2020 ukiwapa kura watabadilika?
Kijana itafakari sana kura yako
Mkulima,bendera ya chama chetu ina alama ya jembe na nyundo,jembe kuwakilisha wakulima,ulishamuona mkuu wetu akihudhuria sherehe za nane nane?walau kukupa matumaini? Unajua bajeti ya pembejeo imeshuka sana na walioishusha ni hawa na hawa uliwapa kura wewe?
Mkulima, unajua mbaazi inauzwa kilo Tsh 200 kutoka Tsh 2000? Wakulima wa Tabora na mpanda tumbaku imewadodea wakati majuzi tu ilikuwa ni Dhahabu?
Je wewe mmiliki wa jengo,unaona wenzako wanavyobomolewa?unadhani wewe uko salama? Kura yako ndiye kinga yako na jengo lako na watoto na mkeo,wenzako sasa wanalala nje,Nyumba zao zimebomolewa bila fidia,unadhani 2020 ukishapiga kura ukawapa,wataacha kubomoa?
Ntaendelea......napumzika kwanza sasa
Tafakari sana kabla hujapiga kura yako,you might be next,vita haina macho,chagua serikali itakayokuheshimu na kukuthamini utu na haki zako,usifate mkumbo,kura yako ni muhimu
Je uongozi huu unalinda ajira yako?uko tayari upigie kura watu ambao watafukuza kazi watanzania 10,000 kwa mpigo? Je 2020 ukiwapigia kura,INA uhakika utakuwa salama au ndio itakuwa umesaini hati ya kufukuzwa kazi? Je utapiga kura CCM ili ufukuzwe kazi jukwaani na kudhalilishwa?je utapigia kura ccm ili unyimwe ongezeko la mshahara bila sababu? Je 2020 utapiga kura ccm ili wakuu wa wilaya na mikoa wakushambulie mbele ya jamii?
Ewe mfanyakazi,itafakari kwa umakini kura yako ya 2020
Je uongozi huu unalinda biashara na uwekezaji wako? Je serikali inajali uchumi wako au inakubeza na kufurahia unapoanguka kibiashara?Serikali isiyovutia uwekezaji wa matrilioni kwa kigezo eti wakisafiri watatumia milioni 100,kwa hiyo bora wasiende kuvutia uwekezaji wa trilioni moja ili waokoe milioni mia kama gharama za safari
Kijana,umeona Sera yoyote inayoakisi ndoto zako? Mkuu wetu umeshasikia akiongea na vijana na kuwasikiliza ndoto zao?anajua kwamba una shida ya ajira?kama anajua kwa nini anakuimbia wimbo wa uhakiki?hajui una majukumu na inahitaji kujitegemea? Kwa nini hakujali?ukimpa kura 2020 unadhani atabadilika?
Kijana,usizame kwenye ushabiki,kura ina maana sana,tena kubwa,ona kura yako ilivyokugharimu,miaka inafika mitatu uliowapa kura wamegoma kukuajiri,unadhani 2020 ukiwapa kura watabadilika?
Kijana itafakari sana kura yako
Mkulima,bendera ya chama chetu ina alama ya jembe na nyundo,jembe kuwakilisha wakulima,ulishamuona mkuu wetu akihudhuria sherehe za nane nane?walau kukupa matumaini? Unajua bajeti ya pembejeo imeshuka sana na walioishusha ni hawa na hawa uliwapa kura wewe?
Mkulima, unajua mbaazi inauzwa kilo Tsh 200 kutoka Tsh 2000? Wakulima wa Tabora na mpanda tumbaku imewadodea wakati majuzi tu ilikuwa ni Dhahabu?
Je wewe mmiliki wa jengo,unaona wenzako wanavyobomolewa?unadhani wewe uko salama? Kura yako ndiye kinga yako na jengo lako na watoto na mkeo,wenzako sasa wanalala nje,Nyumba zao zimebomolewa bila fidia,unadhani 2020 ukishapiga kura ukawapa,wataacha kubomoa?
Ntaendelea......napumzika kwanza sasa