Je ungependa JK azifute wizara zipi?

Ninyi TISS siku hizi mumeanza kumshauri vizuri rais wetu mpendwa JK. Zamani mulitoa ushauri wa hovyo, mukasababisha achukiwe na wananchi, wakati ni mtu mwenye mapenzi makubwa na nchi. JK has made history in this country on the New constitution issue! Maraisi wote waliomtangulia walikuwa madikteta katika hili.

USHAURI WANGU:

Wizara kwa namna yote lazima zipunguzwe.
Zinazotakiwa kubaki kwa sasa ni:
1.EA coz of the EA treaty.
2.Fedha na uchumi
3.Ujenzi, nyumba na ardhi
4.Defence
5.Internal security and immigration
6.TAMISEMI(isiwe chini ya waziri mkuu)
7.Wanawake na watoto
8.Sheria, katiba and good governance
9.Kilimo,misitu,maji,umwagiliaji,uvuvi na ufugaji( with 2 deputy ministers)
10.Afya na ustawi wa jamii
11.Habari,kazi,michezo na utamaduni.
12.Elimu( inclusive)

13.Foreign ministry(Membe abaki)

Hizi zinatosha kabisa kwa TZ.

Mambo mengine yachomekewe humo kama idara.
Success stratergy: Kuweka mawazili ambao wana fani husika ya wizara. JK asiangalie siasa, bali uwezo wa mtu.
Magufuli abaki wizara hiyo ya ujenzi, Nahodha abaki w.ya.ndani, Pindi Chana aingie Sheria na katiba(naibu Kairuki).
asante kwa leo!

Ndugu zangu TISS acheni kufanya mambo kisiasa.Sasa fuateni principles.Naona sasa mumebadilika sana! big up!
 
Ninyi TISS siku hizi mumeanza kumshauri vizuri rais wetu mpendwa JK. Zamani mulitoa ushauri wa hovyo, mukasababisha achukiwe na wananchi, wakati ni mtu mwenye mapenzi makubwa na nchi. JK has made history in this country on the New constitution issue! Maraisi wote waliomtangulia walikuwa madikteta katika hili.

USHAURI WANGU:

Wizara kwa namna yote lazima zipunguzwe.
Zinazotakiwa kubaki kwa sasa ni:
1.EA coz of the EA treaty.
2.Fedha na uchumi
3.Ujenzi, nyumba na ardhi
4.Defence
5.Internal security and immigration
6.TAMISEMI(isiwe chini ya waziri mkuu)
7.Wanawake na watoto
8.Sheria, katiba and good governance
9.Kilimo,misitu,maji,umwagiliaji,uvuvi na ufugaji( with 2 deputy ministers)
10.Afya na ustawi wa jamii
11.Habari,kazi,michezo na utamaduni.
12.Elimu( inclusive)

13.Foreign ministry(Membe abaki)
14.Wizara ya Nishati,madini(awe January Makamba)

Hizi zinatosha kabisa kwa TZ.

Mambo mengine yachomekewe humo kama idara.
Success stratergy: Kuweka mawazili ambao wana fani husika ya wizara. JK asiangalie siasa, bali uwezo wa mtu.
Magufuli abaki wizara hiyo ya ujenzi, Nahodha abaki w.ya.ndani, Pindi Chana aingie Sheria na katiba(naibu Kairuki).
asante kwa leo!

Ndugu zangu TISS acheni kufanya mambo kisiasa.Sasa fuateni principles.Naona sasa mumebadilika sana! big up!

NOTE WELL:
Pendekezo langu jipya ni kwamba: JK aangalie pia uwezekano wa kupata Prime Minister mwingine ambaye ni proactive na ana creative stratergies, awe mtu wa kutoa maamuzi ktk muda mwafaka, siyo kusubiri mpaka mambo yanaharibika. Pia awe kijana kuliko JK mwenyewe ili aweze kuwajibika kivitendo na siyo kimaneno tuu. Watu hawali maneno au majibu mazuri.Kuna personalities kama akina Pindi Chana, January Makamba, Nahodha, nk. Ni vizuri JK akamaliza uongozi wake na PM kijana na mchapa kazi. Otherwise I have a firm support to JK. God bless him!
 

NOTE WELL:
Pendekezo langu jipya ni kwamba: JK aangalie pia uwezekano wa kupata Prime Minister mwingine ambaye ni proactive na ana creative stratergies, awe mtu wa kutoa maamuzi ktk muda mwafaka, siyo kusubiri mpaka mambo yanaharibika. Pia awe kijana kuliko JK mwenyewe ili aweze kuwajibika kivitendo na siyo kimaneno tuu. Watu hawali maneno au majibu mazuri.Kuna personalities kama akina Pindi Chana, January Makamba, Nahodha, nk. Ni vizuri JK akamaliza uongozi wake na PM kijana na mchapa kazi. Otherwise I have a firm support to JK. God bless him!

Hao wana personalities gani??? ujununi wao kichwani unatusaidi nini kama taifa

 
Kuna wizara 28. Je ungependa wizara zipi zifutwe na kwanini?

Yafaa tuangalie tatizo ni wizara au ni yeye kama ni wizara basi zifutwe au uongozi wake ubadilishwe na kama tatizo ni yeye basi afuate nyendo za rais wa ujerumani
 
Zibaki hizi nyingine zifutwe:
1.Miundombinu(barabara,viwanda,umeme)
2.Wizara ya mali asili(iingizwe utalii,kilimo,maji,madini,misitu na v2 vinavyofana na hvyo)
3.Wizara ya Fedha na Uchumi(kazi,uchumi etc)
4.Wizara ya afya(ustawi wa jamii,afya yenyew,etc)
5.Wizara ya Elimu(ya juu,elimu kati etc)
6.wizara ya michezo na utamaduni
7.Wizara Mtambuko(makolokolo ambayo hayana wizr na yanaingiliana na wzr nyingn indirect)

Baaaaaaasiiiiiiiiiii.

Kwani kuondoa zote haiwezekani tukabaki bila wizara hata moja?
 
What do you think? Yes this is a thread,problem of you,is that;whenever someone starts the thread which touches interest of magamba you tend to ignore it.For me this is a constructive thread,because for many years Tanzanians are complaining about larger number of ministries and ministers which it has implications in term of cost of running these ministries.

It is better to lose your eyes than to lose your heart..

Halafu jifunze matumizi ya haya maneno WHICH na IT.

Jikite kwenye lugha yako ya taifa mkuu hii lugha ilikuja na meli.
 
What do you think? Yes this is a thread,problem of you,is that;whenever someone starts the thread which touches interest of magamba you tend to ignore it.For me this is a constructive thread,because for many years Tanzanians are complaining about larger number of ministries and ministers which it has implications in term of cost of running these ministries.


To do you do you and then you tell the teacher to punish me without because.
 
Lugha ya Taifa ingenisaidia hata mimi kuelewa. Labda sijui vizuri kiingereza mkuu ila neno which linapoongozana na it linanipa tabu sana kuelewa.

Dah! Jamaa kavunja. Kaandika English kwa kiswahili
 
What do you think? Yes this is a thread,problem of you,is that;whenever someone starts the thread which touches interest of magamba you tend to ignore it.For me this is a constructive thread,because for many years Tanzanians are complaining about larger number of ministries and ministers which it has implications in term of cost of running these ministries.

Halafu jamaa ndio ka graduate mwaka jana, nikwambie toka chuo gani?
 

NOTE WELL:
Pendekezo langu jipya ni kwamba: JK aangalie pia uwezekano wa kupata Prime Minister mwingine ambaye ni proactive na ana creative stratergies, awe mtu wa kutoa maamuzi ktk muda mwafaka, siyo kusubiri mpaka mambo yanaharibika. Pia awe kijana kuliko JK mwenyewe ili aweze kuwajibika kivitendo na siyo kimaneno tuu. Watu hawali maneno au majibu mazuri.Kuna personalities kama akina Pindi Chana, January Makamba, Nahodha, nk. Ni vizuri JK akamaliza uongozi wake na PM kijana na mchapa kazi. Otherwise I have a firm support to JK. God bless him!


Nakubaliana nawe kwa hili la PM kuwa mwenye maamuzi kuliko huyu liyepo sasa anachelewa sana kutoa maamuz kiasi mambo yanakwenda hovy ndiyo anakuja na sura ya kujidai kuwa mpole kwa jambo alilokwisha kulikoroga. Kwa hili la watu waliopoteza maisha kwa mgomo wa madaktari alipaswa kuwa ameshajiuzulu; hata hivyo Mwenyezi Mungu hajamsamehe!!
 
Kuna wizara 28. Je ungependa wizara zipi zifutwe na kwanini?

Hii ni thread gani na ina faida gani kuileta hapa? harafu mtu unaleta thread haina hata maoni yako wewe mwenyewe, ungetueleza kwamba wewe binafsi unataka iweje?
 
Mkuu Nzi mimi siyo kwamba nakubaliana na hayo matakwa ya wakubwa. Muwe mnasoma between lines angalia nimeandika WAKUBWA na si wakubwa. Kuandika neno kwa herufi kubwa ambapo lilitakiwa liwe herufi ndogo basi linakuwa na ujumbe tofauti. Pamoja na hayo mkuu nilikuwa nataka kuonyesha jinsi serikali zetu zinavyoendeshwa na WAKUBWA.

Mkuu umesomeka.
Hakika ni kweli serikali yetu inakua remote controlled kutoka Washington, Paris, London, Tokyo et al.
 
Hii thread ni muhimu sana. tuijadili kwa masilahi mapana ya nchi yetu. Tuache kupoteza muda mwingi kujadili juu ya grammar za lugha. That is wastage of our precious time, space and resources. Let us go to matters in issue.
 
Halafu jamaa ndio ka graduate mwaka jana, nikwambie toka chuo gani?

Ha ha ha ha ha ha ha mkuu I salute you,just guess.I have a special gift for you if you succeed to guess correctly...
 
Dah! Jamaa kavunja. Kaandika English kwa kiswahili

Acheni majungu huko...yaani naandika kiingereza kizuri hivyo then mnakuja na comment zenu uharo hapa...lets sticky to the major concern of this thread,and not bringing something else which is out of topic...pumbafu.
 
It is better to lose your eyes than to lose your heart..

Halafu jifunze matumizi ya haya maneno WHICH na IT.

Jikite kwenye lugha yako ya taifa mkuu hii lugha ilikuja na meli.

Thanx for your observation,I appreciate very much...then I would like to advice you that;is better to discuss issue which the founder of this thread wants us to do/discuss.Kiingereza changu kibovu akitawasaidia,sana sana mtapata taabu.I advice you again,we need to discuss issues and not otherwise.Full stop!!
 
Thanx for your observation,I appreciate very much...then I would like to advice you that;is better to discuss issue which the founder of this thread wants us to do/discuss.Kiingereza changu kibovu akitawasaidia,sana sana mtapata taabu.I advice you again,we need to discuss issues and not otherwise.Full stop!!
Mkuu ungeachana na hii lugha. Huwa naziheshimu post zako za kiswahili lakini hizi za kizungu inakuwa kaaaaazi kwelikweli! Angalia matumizi ya advice na advise! Umeenda chaka, rudi kwenye lugha yetu mwanana mzee. Unatumia zaidi sisisi katika kuandika kiingereza toka kiswahili.
 
Back
Top Bottom