Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Je, leo hii ikitokea ukaambiwa una nafasi ya kurejesha bikira yako ya asili ili ipate kutolewa na mtu fulani badala ya yule aliyeitoa, utafanyaje? Utakubali itolewe na yuleyule, lakini katika siku nyingine? Ungerejesha na kumpelekea mwingine aitoe? Au ungehifadhi daima? Au ingetolewa siku ileile, lakini na mtu mwingine?
Nawasilisha....!
Nawasilisha....!