Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
[h=3]Je ungefanyaje????
[/h]Habari yako rafiki mpendwa; japo hunifahamu ana kwa ana napenda nikushirikishe katika hili....
[h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba muda huu kuna mtu anapewa nusu ya malipo kwa kazi ya kukutoa uhai wako leo hii?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kuna mtu yupo kwa wachawi akikufanyia uchawi ili kukusambaratisha?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua muda huu kuna mtu hapo ofisini kwako anaiba nyaraka zako muhimu ili ufukuzwe kazi?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kuna mtu muda huu anatengeneza ujumbe wa uongo ili kuvuruga ndoa yako?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba muda huu kuna mtu anapanga kumteka mtoto wako ili wakudai pesa?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba rafiki yako wa karibu yupo busy sana kushirikiana na wabaya wako kutaka kukuangamiza?[/h] [h=3]Je ungefanyaje iwapo ungejua kuwa jirani yako amepanga kuchoma moto nyumba yako usiku wa leo?[/h] [h=3]Je ungefanyaje iwapo ungejua kama kuna mpango unapangwa ili kusababisha ufukuzwe chuoni?
[/h] [h=3]Pamoja na hayo yote, Mungu amesimamisha malaika wake ili wakulinde na kukupigania kwa kila baya litakaloinuka juu yako katika maisha yako. Tusichoke kumuomba na kumshukuru Mungu kwa maana hatujui ni mambo mangapi mabaya anatuepusha nayo kila siku ya maisha yetu.[/h] [h=3]Nawatakieni mwanzo mwema wa mwezi December 2013 tukiungojea mwaka ujao. [/h]
[/h]Habari yako rafiki mpendwa; japo hunifahamu ana kwa ana napenda nikushirikishe katika hili....
[h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba muda huu kuna mtu anapewa nusu ya malipo kwa kazi ya kukutoa uhai wako leo hii?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kuna mtu yupo kwa wachawi akikufanyia uchawi ili kukusambaratisha?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua muda huu kuna mtu hapo ofisini kwako anaiba nyaraka zako muhimu ili ufukuzwe kazi?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kuna mtu muda huu anatengeneza ujumbe wa uongo ili kuvuruga ndoa yako?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba muda huu kuna mtu anapanga kumteka mtoto wako ili wakudai pesa?[/h] [h=3]Je ungefanyaje kama ungejua kwamba rafiki yako wa karibu yupo busy sana kushirikiana na wabaya wako kutaka kukuangamiza?[/h] [h=3]Je ungefanyaje iwapo ungejua kuwa jirani yako amepanga kuchoma moto nyumba yako usiku wa leo?[/h] [h=3]Je ungefanyaje iwapo ungejua kama kuna mpango unapangwa ili kusababisha ufukuzwe chuoni?
[/h] [h=3]Pamoja na hayo yote, Mungu amesimamisha malaika wake ili wakulinde na kukupigania kwa kila baya litakaloinuka juu yako katika maisha yako. Tusichoke kumuomba na kumshukuru Mungu kwa maana hatujui ni mambo mangapi mabaya anatuepusha nayo kila siku ya maisha yetu.[/h] [h=3]Nawatakieni mwanzo mwema wa mwezi December 2013 tukiungojea mwaka ujao. [/h]