VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Ni matumaini yangu kuwa nyote muwazima na mnajiandaa na maandilizi mema ya weekend. Kwa muda mrefu sana toka nikiwa mtoto hadi nimekuwa mtu mzima sasa nimeshawahi kusikia mara nyingi sana kutoka kwa watu wa umri tofauti, rangi tofauti, mila tofauti, nchi tofauti wazee kwa vijana na wanawake na wanaume wakiongelea kuwa wanazo siri ambazo hawatozisema na watakufa na kuzikwa nazo. Wapo waliodai watazianika baadae ktk maisha yao kabla mauti haijawakuta.
Wapo ambao wameweza kuziweka wazi lakini anonimously na hivyo wamezianika bila watu kufahamu hizo siri zimetoka kwa nani. Binafsi sina.
Swali:
1. Je unayo siri ama unazo siri ambazo utakufa nazo na kuzikwa nazo kaburini bila ku-confess kwa mtu yoyote yule wakati wa uhai wako?
2. Je unaweza kuzisema hapa jamvini hata kama just in brief?
Weekend njema!!
Wapo ambao wameweza kuziweka wazi lakini anonimously na hivyo wamezianika bila watu kufahamu hizo siri zimetoka kwa nani. Binafsi sina.
Swali:
1. Je unayo siri ama unazo siri ambazo utakufa nazo na kuzikwa nazo kaburini bila ku-confess kwa mtu yoyote yule wakati wa uhai wako?
2. Je unaweza kuzisema hapa jamvini hata kama just in brief?
Weekend njema!!