venchwa
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 1,677
- 1,592
Je wa kwako yuko hivi?
1. Ubongo - mwanamke anaubongo uliounganika (more connected) kuliko mwanaume. Hii inamfanya mwanamke kuweza kufanya mengi wakati mmoja kuliko mwanaume
2. Mawasiliano - Mwanamke anapenda na anaweza kuwasiliana na kutoa taarifa mapema na kwa urahisi zaidi kuliko mwanaume. Ugumu wa kuwasiliana kwa wanaume ni ishu ya kimaumbile zaidi ya kitabia
3. Hisia - Mwanamke anahisia kali na halisi kuliko mwanaume. Mwanamke akikuhisi kitu basi ujue anazaidi ya asilimia 75 yuko karibu na ukweli tofauti na mwanaume. Mwanamke anaweza kuhisi au kuona mambo kabla hayajatokea kupitia vitu kama vile ndoto, maono, hisia kali, mshtuko nk.
4. Kwenye kuuliza maswali - Mwanamke anauliza wakati ndani yake anajua au anahisi ukweli wa jibu na maranyingine anauliza kupata uhakika kwahiyo unapomdanganya inampashida maana tayari anauhakika na alichokihisi tofauti na mwanaume ambaye akiuliza unakuta anataka tu taarifa.
5. Tendo la ndoa - Mwanaume anakiu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa mara kwa mara tena hata akiwa na hasira tofauti na mwanamke ambaye hata akiwa amehemshwa tayari kwa tendo, akiumizwa kidogo hisia au moyo wake basi hamu yote kushnei.
6. Manunuzi - Mwanamke anafurahia manunuzi (shopping) kuliko anavyofurahia chakula na anawezakwenda shopping kuangalia tu wakati hana hela wakati mwanaume manunuzi ni jukumu tena asilolifurahia sana na akinunua kitu basi ni kile alichokipanga, mwanamke yeye anaweza kupanga kwenda kununua mapazia na akirudi anarudi na kapeti, kwake hiyo ni sawa tu. Zipo tofauti tele baina yetu na usipozijua vema mahusiano yatakusumbua. Ungana nami PM madada njoo na namba zenu
1. Ubongo - mwanamke anaubongo uliounganika (more connected) kuliko mwanaume. Hii inamfanya mwanamke kuweza kufanya mengi wakati mmoja kuliko mwanaume
2. Mawasiliano - Mwanamke anapenda na anaweza kuwasiliana na kutoa taarifa mapema na kwa urahisi zaidi kuliko mwanaume. Ugumu wa kuwasiliana kwa wanaume ni ishu ya kimaumbile zaidi ya kitabia
3. Hisia - Mwanamke anahisia kali na halisi kuliko mwanaume. Mwanamke akikuhisi kitu basi ujue anazaidi ya asilimia 75 yuko karibu na ukweli tofauti na mwanaume. Mwanamke anaweza kuhisi au kuona mambo kabla hayajatokea kupitia vitu kama vile ndoto, maono, hisia kali, mshtuko nk.
4. Kwenye kuuliza maswali - Mwanamke anauliza wakati ndani yake anajua au anahisi ukweli wa jibu na maranyingine anauliza kupata uhakika kwahiyo unapomdanganya inampashida maana tayari anauhakika na alichokihisi tofauti na mwanaume ambaye akiuliza unakuta anataka tu taarifa.
5. Tendo la ndoa - Mwanaume anakiu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa mara kwa mara tena hata akiwa na hasira tofauti na mwanamke ambaye hata akiwa amehemshwa tayari kwa tendo, akiumizwa kidogo hisia au moyo wake basi hamu yote kushnei.
6. Manunuzi - Mwanamke anafurahia manunuzi (shopping) kuliko anavyofurahia chakula na anawezakwenda shopping kuangalia tu wakati hana hela wakati mwanaume manunuzi ni jukumu tena asilolifurahia sana na akinunua kitu basi ni kile alichokipanga, mwanamke yeye anaweza kupanga kwenda kununua mapazia na akirudi anarudi na kapeti, kwake hiyo ni sawa tu. Zipo tofauti tele baina yetu na usipozijua vema mahusiano yatakusumbua. Ungana nami PM madada njoo na namba zenu