Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,762
- 3,337
Wachambuzi karibuni.
Mwl. Nyerere alisema,ili tuendelee tunahitaji mambo kadhaa,muhimu ikiwa ni Ardhi, Watu ,Uongozi bora na Siasa safi . Hapo kwenye kuendelea,naamini alimaanisha ni pamoja maendeleo ya kiuchumi.
Je kwa hayo yote bado mtizamo wetu ndiyo uleule ?
Mwl. Nyerere alisema,ili tuendelee tunahitaji mambo kadhaa,muhimu ikiwa ni Ardhi, Watu ,Uongozi bora na Siasa safi . Hapo kwenye kuendelea,naamini alimaanisha ni pamoja maendeleo ya kiuchumi.
Je kwa hayo yote bado mtizamo wetu ndiyo uleule ?