Je unaweza kutambua kabila la majina haya? na Maana zake?

ogm12000

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
304
86
Ebwana nimekumbuka baadhi ya majina ya wadau niliopata kuwafahamu kipindi cha nyuma. Wengine walikuwa waalimu zangu, majirani zangu etc.

Ila sikumbuki kabila zao na maana ya majina yao.. Tusaidiane


Majina

1. Kitenya

2. Mng'anya

3.Kiabwazi - mwalimu pale usagara

4.Kipingu

5. Kimbute

6. Nyanzobe

7.Kipumbu Kitizo

8. Itutukigi- mchezaji mpira enzi hizo

9. Kabwela

10.Ng'alabushi

11.Luponyandigi- Mwanafunzi mazengo tech enzi hizo

12. Kamugisha


13. Maunga- Kakamatwa na unga juzi juzi
 
Ebwana nimekumbuka baadhi ya majina ya wadau niliopata kuwafahamu kipindi cha nyuma. Wengine walikuwa waalimu zangu, majirani zangu etc.

Ila sikumbuki kabila zao na maana ya majina yao.. Tusaidiane


Majina

1. Kitenya

2. Mng'anya

3.Kiabwazi - mwalimu pale usagara

4.Kipingu

5. Kimbute

6. Nyanzobe

7.Kipumbu Kitizo

8. Itutukigi- mchezaji mpira enzi hizo

9. Kabwela

10.Ng'alabushi

11.Luponyandigi- Mwanafunzi mazengo tech enzi hizo

12. Kamugisha


13. Maunga- Kakamatwa na unga juzi juzi


Jah Kimbute... haha hahaha nimekumbuka zamani sana, enzi za magamutu
 
wakati tupo shule, majina hayo ya kibantu tukiyaita botanical names, kwa wale waliosoma agriculture wanajua nini maana ya botannical names
 
Matusi kwenye mhadhara ya nini tena ndugu?? Unaleta joke nzuri lakini unaiharibu mwenyewe kwa kutojikimu!

Kaka sio joke hilo jina nilisikia wakati niko Morogoro miaka ya nyuma kidogo. Kuna jamaa alikuwa anaitwa jina hilo.
 
Jah Kimbute... haha hahaha nimekumbuka zamani sana, enzi za magamutu
ni nini hasa maana ya Gamutu, niliwahi kusoma kwenye vigazeti vya sani , miaka ya 1980 mwishoni.....
gamutu pula malapa musosi please.....................Rest In Peace mzee Said Salim Bawji.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom