Expert911
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 695
- 1,232
Habari wana MMU!
Eeh bwana uaminifu umekuwa wa kusaka kwa manati hasa kwa vijana walioko kwenye uhusiano wa kimapenzi na hii imekuwa ikichangiwa na simu za mkononi kama chombo cha mawasiliano. Simu zimekuwa zikijenga na kuharibu wa mahusiano ya watu kwa asilimia kubwa sana. Wanamke wanaamin kushika simu ya mwanaume ni chanzo cha mahusiano kuvunjika.
Baby naomba simu yako = ya nini si na wewe unayako. Unaweza nisaidia simu yako nikopi namba= nitajie tu niikariri.
Lakini kuna wapenzi wanaamini hadi kubadilishana simu zao, ukipiga kwa mwanaume anapokea mke au girlfriend wake, ukipiga kwa mwanamke anapokea mme au boyfriend wake.
JE WEWE NA MWENZI WAKO MNAWEZA BADILISHANA SIMU KAMA KIGEZO CHA UAMINIFU?
Eeh bwana uaminifu umekuwa wa kusaka kwa manati hasa kwa vijana walioko kwenye uhusiano wa kimapenzi na hii imekuwa ikichangiwa na simu za mkononi kama chombo cha mawasiliano. Simu zimekuwa zikijenga na kuharibu wa mahusiano ya watu kwa asilimia kubwa sana. Wanamke wanaamin kushika simu ya mwanaume ni chanzo cha mahusiano kuvunjika.
Baby naomba simu yako = ya nini si na wewe unayako. Unaweza nisaidia simu yako nikopi namba= nitajie tu niikariri.
Lakini kuna wapenzi wanaamini hadi kubadilishana simu zao, ukipiga kwa mwanaume anapokea mke au girlfriend wake, ukipiga kwa mwanamke anapokea mme au boyfriend wake.
JE WEWE NA MWENZI WAKO MNAWEZA BADILISHANA SIMU KAMA KIGEZO CHA UAMINIFU?