Aisee kwanini usibadilishe mawazo uchukue hata A10/A20/A20s kwa bajeti hiyo hiyo tena kwa simu mpya?wakuu samsung j7 pro naweza kupata kwa bajeti ya 350k?
J7 pro ni ya zaman kweli ila sion utofaut wake na hyo A10 kwa sababu zote mbili zinatumia chipset za Exynos.zmezidiana vtu vdogo dogo tu kama vile android version, n.kAisee kwanini usibadilishe mawazo uchukue hata A10/A20/A20s kwa bajeti hiyo hiyo tena kwa simu mpya?
Hiyo j7 pro ni ya kitambo na imepitwa na hizo hapo juu. Pia j7 pro utapata used kwa sasa.
From JF Ap
Nielekeze duka mi nikachukue hiyo A20sAisee kwanini usibadilishe mawazo uchukue hata A10/A20/A20s kwa bajeti hiyo hiyo tena kwa simu mpya?
Hiyo j7 pro ni ya kitambo na imepitwa na hizo hapo juu. Pia j7 pro utapata used kwa sasa.
From JF App
Maduka almost yote, ila kukushauri tu. A20 Iko vyema zaidi ya A20S na pia A20 iko cheap kuliko A20S.Nielekeze duka mi nikachukue hiyo A20s
Kweli zimepotea. Halafu hata hazikuwa na performance nzuri kama A20 na screen zake ni IPSHivi hizi A20s mbona kama zimepotea mapema naona online store nyingi wamekimbilia A21s au ni kwasababu za kibiashara tu!?