Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 583
- 1,478
Habari,
Nimesikia sana kwamba ukimuua mtu na ikatokea akakuangalia kabla ya kufa taswira yako inabaki kwenye macho yake. Akipigwa picha unaonekana.
Hii ina ukweli wowote?
Nimesikia sana kwamba ukimuua mtu na ikatokea akakuangalia kabla ya kufa taswira yako inabaki kwenye macho yake. Akipigwa picha unaonekana.
Hii ina ukweli wowote?