Je, unaweza kumwambia Mwenzi wako ukweli kuwa yeye sio Mke/Mume wa ndoto yako?

Naona watu wanatoka nje ya swali au mimi tuu ndiyo naona.

Anyway kiukweli hata kama umri umeenda kiasi kigani huwezi kuoa mwanamke ambaye huna hisia naye hata kama umechaguliwa naamini kuna kimojawapo ktk mwili wake utavutiwa nacho na ndiyo hicho kitakufanya umpende na useme ni mwanamke wako wa maisha.
 
Naona watu wanatoka nje ya swali au mimi tuu ndiyo naona.

Anyway kiukweli hata kama umri umeenda kiasi kigani huwezi kuoa mwanamke ambaye huna hisia naye hata kama umechaguliwa naamini kuna kimojawapo ktk mwili wake utavutiwa nacho na ndiyo hicho kitakufanya umpende na useme ni mwanamke wako wa maisha.
Swali kuu hapa ni, je huyo ndiye aina ya Mwenza uliyekuwa unatamani kuishi naye tangu ulipoanza kuwaza maswala ya Mke/Mume?.

Haipingwi ya kuwa wapo wanaofanikisha hilo, ila haihitaji nguvu kubwa kuamini ya kuwa wapo wengi tu hawafanikishi hilo....na ni kutokana tu na changamoto za hapa na pale.

Ni wengi tunaoana tu kwa sababu tumekutana sehemu ya kazi au tumepanga nyumba moja, au baada ya kupeana mimba n.k.
 
Ingawa baadhi yetu twaweza kuleta ubishi juu ya hili lakini ni ukweli unaowakuta zaidi ya asilimia 80 kama sio 90 ya Wanandoa wamejikuta wameoana kutokana na sababu moja au nyingine, wengi ikiwa ni baada ya kuona miaka inasonga bila kupata Mwenza anayekidhi ndoto zake.

Binaadamu yeyote mwenye mipango ni lazima atakuwa na mipango ya namna anavyotamani aishi siku za usoni, miongoni mwa mipango hiyo ni kupata Mke/Mume wa aina fulani, kimuonekano, asili yake, imani yake n.k.

Huenda nyote wawili mnalijua hilo lakini hakuna anayethubutu kuweka hisia zake hadharani ili kutomkwaza Mwenza wake.

Labda kwa zile ndoa zinazoingia kwenye misukosuko ya mara kwa mara inayopelekea kutoleana maneno makali yasiyojali hisia za mwingine.

Bila shaka mpo wengi mnaoweza kukiri kuwa hamuishi na Wenza wa ndoto zenu.

Ni uduwanzi kuoa/kuolewa na mtu ambae hakidhi matarajio yako, wengine wanasema mwenza wa ndoto yako

Mpaka unafanya maamuzi ya kuolewa/kuoa that means you feel sucured with that person emotionally, financially, spiritually and socially, kinyume na hapo unajidanganya

Kumbuka mke/mume ni mtu ambae utaishi nae maisha yako yote mpaka kifo kiwatenganishe, together you will face the ups and downs of this world kwa sababu ya upendo, endless love between the two of you, don't make wrong choices, because the choices will do wrong to you
 
Yeah,niliweza.Nilimchana live kwamba sijawahi kupenda kiukweli akajibu najua hilo ila usiniache.Nadhani nimejibu swali mkuu
 
Ni uduwanzi kuoa/kuolewa na mtu ambae hakidhi matarajio yako, wengine wanasema mwenza wa ndoto yako

Mpaka unafanya maamuzi ya kuolewa/kuoa that means you feel sucured with that person emotionally, financially, spiritually and socially, kinyume na hapo unajidanganya

Kumbuka mke/mume ni mtu ambae utaishi nae maisha yako yote mpaka kifo kiwatenganishe, together you will face the ups and downs of this world kwa sababu ya upendo, endless love between the two of you, don't make wrong choices, because the choices will do wrong to you
Hivyo ndivyo inavyopaswaa kuwa lakini kwa wengi sio rahisi.

Fuatilia wale wanotafuta Wenza mtandaoni uone wanavyokazana kuweka na vigezo ambavyo wangetamani....je unadhani kwenye mazingira kama hayo waliyojikuta wana hiyo nafasi ya kupata matamanio ya mioyo yao?.
 
Kama ndoa imefikia miaka 20, hapo wote watakuwa wamekubaliana na hali zao.
Upo sahihi kabisa.

Ila bado haiondoi ukweli kuwa huenda kila mmoja wao alikuwa na matamanio yake tangu akiwa na miaka 18,19, 20, 21 n.k, lakini akajikuta ameangukia kwa huyo aliye naye.
 
Yeah,niliweza.Nilimchana live kwamba sijawahi kupenda kiukweli akajibu najua hilo ila usiniache.Nadhani nimejibu swali mkuu
Hii ndio haswa ninachokiongelea.

Na unaweza ukasubiri upate chaguo la moyo wako na umri usikubali kukusubiria.....ukaishia kunyoosha mikono juu na kusurrender.
 
Hii ndio haswa ninachokiongelea.

Na unaweza ukasubiri upate chaguo la moyo wako na umri usikubali kukusubiria.....ukaishia kunyoosha mikono juu na kusurrender.
Si lazima kukosa chaguo na kuamua kuolewa tena.Mi naamini ndoa is not everything
 
Si lazima kukosa chaguo na kuamua kuolewa tena.Mi naamini ndoa is not everything
Hilo la kuolewa tena ni jambo lingine. Hebu tumuangalie yule ambaye hajaoa au kuolewa na yupo anasubiri kupata tamanio la moyo wake.

Kwa Mwanaume basi ndio atapambana apate kazi/pesa ili ajiweke kwenye nafasi nzuri ya kumpata yule anayemkusudia bila ya kipingamizi.

Na kwa Dada zetu ndio hivyo leo atamkwepa Mnywaji, Mvutaji, Asiyenacho n.k lakini hatimaye akiona umri unamtupa mkono anaangukia kwa mvutaji akamvumilie hivyo hivyo mbele ya safari.
 
Hilo la kuolewa tena ni jambo lingine. Hebu tumuangailie yule ambaye hajaoa au kuolewa na yupo anasubiri kupata tamanio la moyo wake.

Kwa Mwanaume basi ndio atapambana apate kazi/pesa ili ajiweke kwenye nafasi nzuri ya kumpata yule anayemkusudia bila ya kipingamizi.

Na kwa Dada zetu ndio hivyo leo atamkwepa Mnywaji, Mvutaji, Asiyenacho n.k lakini hatimaye akiona umri unamtupa mkono anaangukia kwa mvutaji akamvumilie hivyo hivyo mbele ya safari.
Very sad
 
Back
Top Bottom