The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Habari zenu waungwana?
Niliwahi sikia juu ya sheria kuhusiana na mwanamke ambaye ameishi na mwanaume kwa muda mrefu kimahusiano, kisha mwanaume huyo au mwanamke akamuacha mwenzake baada ya muda mrefu wa kimahusiano.
Je kesi hizi Tanzania zipo vipi na unatumia sheria zipi na unaanzia mahakama ipi.
Ahsanteni sana.
Niliwahi sikia juu ya sheria kuhusiana na mwanamke ambaye ameishi na mwanaume kwa muda mrefu kimahusiano, kisha mwanaume huyo au mwanamke akamuacha mwenzake baada ya muda mrefu wa kimahusiano.
Je kesi hizi Tanzania zipo vipi na unatumia sheria zipi na unaanzia mahakama ipi.
Ahsanteni sana.