PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Kwa kweli hawa wanawake/wasichana wanaovuta sigara nimetokea kutowapenda hata sijui kwanini nahisi sigara zilitengenezwa kwa ajili ya kutumia sisi wanaume ila wanawake nadhani wanafosi tu hawapendez kabisaa kuvuta sigara... unakutana na msichana mzurii ile unaanza kuongea nae ghafla unasikia harufu ya sigara ikitoka kinywani mwake aarrgghh
kumbukeni nyie wanawake/wasichana ni maua ya dunia mnatakiwa mnukie sio kunuka mimoshi ya sigara
kumbukeni nyie wanawake/wasichana ni maua ya dunia mnatakiwa mnukie sio kunuka mimoshi ya sigara