Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Habari menu,
Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole.
Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu yaani almost kila kitu.
Chopping board yangu ni kuuu kuu Sana na more than ten years
Anyone else uses a chopping board like me, just wondering
Tecno yangu haitoi quality picha
ASANTENI KWA MAONI
Nikweli chopping board yangu...imechoka... nashukuru kwa maoni yenu...ILA SINUNUI mpyaaa..hata kidogo..Hadi ikatike vipande vipande ndo ntaacha kuitumiaaa...
Kama Kuna mtu anazo mbili...anitumie moja ....
Nawaombea nanyie mnunue zenu Asante
Mimi nimezoea Sana Kutumia chopping board jikoni kiasi kwamba nikitumia mikono najikata Sana na kisu vidole.
Lazima nitumie chopping board kukata nyama, mboga zamajiani...vitunguu yaani almost kila kitu.
Chopping board yangu ni kuuu kuu Sana na more than ten years
Anyone else uses a chopping board like me, just wondering
Tecno yangu haitoi quality picha
ASANTENI KWA MAONI
Nikweli chopping board yangu...imechoka... nashukuru kwa maoni yenu...ILA SINUNUI mpyaaa..hata kidogo..Hadi ikatike vipande vipande ndo ntaacha kuitumiaaa...
Kama Kuna mtu anazo mbili...anitumie moja ....
Nawaombea nanyie mnunue zenu Asante