ushauri.....
Utafiti uliofanywa huko UK umegundua kuwa watu wengi tunazingatia kunawa mikono baada ya kutoka chooni na kusahau kuwa hata simu zetu za mkononi ni chafu na zina bakteria. Soma hapa [url=http://quicknek.blogspot.com/2011/10/je-unatambua-kuwa-simu-yako-ya-mkononi Mi najua meza za maofisini ndiyo chafu kuliko vyoo!!
ahsante ba mdogo! nasubiri yako in realy !!ahsante feis buku kwa kujionyesha kwenye avatar hapo...ile ya zamani ilikuwa inakufanya uonekane mcharuko!