Je Unataka kuwa Muisrael na kuhamia Israel?

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
May 1, 2007
7,023
9,285
Ili kuwa Muisrael njia kuu na ya Uhakika zaidi kwanza ni wewe kuwa Myahudi.

Kuna njia kuu mbili za kuwa Myahudi
1) Kutokana na uzao, yaani Mama yako awe myahudi. Haijalishi wewe ni atheist, au mtu wa dini, lakini ukiweza kuprove kuwa umezaliwa na mama ambaye ni Myahudi basi na wewe unachukuliwa kuwa ni Myahudi!

2) Njia ya pili ni kupitia kubadiri dini yako na kuchukua dini ya kiyahudi, Katika kubadiri dini ili utambulike katika jamii ya wayahudi kuwa kweli umebadiri dini ni lazima kwanza upitie mafunzo ya miezi tisa katika jumuia za kiyahudi zinazotoa mafunzo hayo nje ya israel.

Baada ya kuwa umekuwa Myahudi, Unapata haki za kurudi Israel kwa mujibu wa sheria ya " Kurudi", yenye lengo la kuwaleta/kuwarudisha wayahudi popote pale walipo duniani ili wakaishi Israel!

Kazi kwenu muipendao Israel sana, mnayo nafasi ya kuwa Wayahudi, Mnayo nafasi ya kuwa Waisrael ili mbarikiwe kama msemavyo!.

Badala ya kuwabariki Waisrael tu ili mbarikiwe, ni vyema mkawa Waisrael ili mbarikiwe zaidi!
 
sisi kiroho ni waisrael kamili yaani taifa teule la mungu. vipi tuliipata hio nafasi? kwa kuamini nakubatizwa moja kwa moja tunaesabiwa kuwa warithi pamoja na taifa teule la mungu. hamna haja ya kuwa myahudi tena.
 
Hahahahahahahah ingekuwa ni vyepesi hvyo nadhani Watanganyika wangevunja mageti kwa wingi wao ktk kuingia israel
 
sisi kiroho ni waisrael kamili yaani taifa teule la mungu. vipi tuliipata hio nafasi? kwa kuamini nakubatizwa moja kwa moja tunaesabiwa kuwa warithi pamoja na taifa teule la mungu. hamna haja ya kuwa myahudi tena.

Mkuu hutaki kuishi katika ardhi aliyoishi na kufundishia bwana Yesu?

Lakini sasa mbona Taifa teule linawachukulia wote wenye Imani kama yako wewe kuwa ni wapotevu?
 
Ili kuwa Muisrael njia kuu na ya Uhakika zaidi kwanza ni wewe kuwa Myahudi.

Kuna njia kuu mbili za kuwa Myahudi
1) Kutokana na uzao, yaani Mama yako awe myahudi. Haijalishi wewe ni atheist, au mtu wa dini, lakini ukiweza kuprove kuwa umezaliwa na mama ambaye ni Myahudi basi na wewe unachukuliwa kuwa ni Myahudi!

2) Njia ya pili ni kupitia kubadiri dini yako na kuchukua dini ya kiyahudi, Katika kubadiri dini ili utambulike katika jamii ya wayahudi kuwa kweli umebadiri dini ni lazima kwanza upitie mafunzo ya miezi tisa katika jumuia za kiyahudi zinazotoa mafunzo hayo nje ya israel.

Baada ya kuwa umekuwa Myahudi, Unapata haki za kurudi Israel kwa mujibu wa sheria ya " Kurudi", yenye lengo la kuwaleta/kuwarudisha wayahudi popote pale walipo duniani ili wakaishi Israel!

Kazi kwenu muipendao Israel sana, mnayo nafasi ya kuwa Wayahudi, Mnayo nafasi ya kuwa Waisrael ili mbarikiwe kama msemavyo!.

Badala ya kuwabariki Waisrael tu ili mbarikiwe, ni vyema mkawa Waisrael ili mbarikiwe zaidi!


Ninavyojua mimi hawataki Waafrika ngozi nyeusi, kwani kuna Waethiopia wengi huko tena Wayahudi na wengi wao wamehasiwa kwa makusudi kabisa na Serikali ya Israeli wasiendeleze kizazi cha mtu mweusi!
 
Ninavyojua mimi hawataki Waafrika ngozi nyeusi, kwani kuna Waethiopia wengi huko tena Wayahudi na wengi wao wamehasiwa kwa makusudi kabisa na Serikali ya Israeli wasiendeleze kizazi cha mtu mweusi!
Kingine mtoa mada amechaganya vitu viwili na kuvifanya kimoja kuna waisrael kama taifa na kuna wayahudi kama dini sidhani kama kuna nchi yeyote inayotoa uraia kwa kigezo cha dini zaid ya uraia wa kuzaliwa,kuomba na mala nying ukae kuanzia miaka 5 na uwe na clean record of crime ,ufunge ndoa na raia wa nchi hyo na ukae hapo na vigezo vingne mfano canada ukiweza kuwekeza kiasi cha dola 100,000 ndani ya nchi yao na ukakaa ndani ya canada miaka 3 no criminal record wanakupa uraia kama utaitaji wahindi wamechangamkia sana fursa hii
 
Kingine mtoa mada amechaganya vitu viwili na kuvifanya kimoja kuna waisrael kama taifa na kuna wayahudi kama dini

Ukishakuwa Myahudi kwa dini hata kama kwa conversion, halafu ukatambulika na mamlaka za Kirabbi zinazotambulika basi Una haki ya kuhamia na kuishi na kuwa Muisrael kwa mujibu wa Law of Return ya mwaka 1950
 
Ukishakuwa Myahudi kwa dini hata kama kwa conversion, halafu ukatambulika na mamlaka za Kirabbi zinazotambulika basi Una haki ya kuhamia na kuishi Israel kwa mujibu wa Law of Return ya mwaka 1950
Sheria hiyo ya law of Return ya 14- sep -1950 imefanyiwa amendment na bunge la israel Knesset chini ya Yuli-Yoel Edelstein Israel Speaker tarehe 26 - APRIL - 2014 na kubaki sheria inayomtambua mwisrael ni yule aliyezaliwa na mama wa kiisrael kama wakiwa nje ya israel njia hii ndio inatoa option kwa watu wa mataifa mengine kuwa waisrael yani mtoto aliyezaliwa na mama wa kiisrael tu
 
Sheria hiyo ya law of Return ya 14- sep -1950 imefanyiwa amendment na bunge la israel Knesset chini ya Yuli-Yoel Edelstein Israel Speaker tarehe 26 - APRIL - 2014 na kubaki sheria inayomtambua mwisrael ni yule aliyezaliwa na mama wa kiisrael kama wakiwa nje ya israel njia hii ndio inatoa option kwa watu wa mataifa mengine kuwa waisrael yani mtoto aliyezaliwa na mama wa kiisrael tu

Hakuna ammendment yoyote ya sheria hiyo mwaka 2014, ammendment ya mwisho ya hiyo sheria ilifanyika mwaka 1970, na ammendment hiyo wala haikumuondolea haki Myahudi convert kuhamia israel kama wayahudi walioupata kupitia uzao!

Kuna mdau hapo juu kaiweka hiyo sheria na ammendments zake, lakini pia Unaweza kupata summary ya sheria hiyo hapa:

Law of Return - Wikipedia
 
Hakuna ammendment yoyote ya sheria hiyo mwaka 2014, ammendment ya mwisho ya hiyo sheria ilifanyika mwaka 1970, na ammendment hiyo wala haikumuondolea haki Myahudi convert kuhamia israel kama wayahudi walioupata kupitia uzao!

Kuna mdau hapo juu kaiweka hiyo sheria na ammendments zake, lakini pia Unaweza kupata summary ya sheria hiyo hapa:

Law of Return - Wikipedia
Mkuu Law of Return ni Sheria yenye vipengele vi 5 na section 6 Kama sheria ilifanyiwa amendment ya mwisho 1970 na ilipitishwa na bunge 05 Jul 1950 na kuanza kutumika Sep 14 Kilichofanyiwa amendment ni section si Sheria nzima ambayo inamtambua wisrael aliyenje ya israel na ambae amezaliwa kwa kuchanganya wazazi anatambuliwa yule aliyezaliwa na mama mwisrael si baba
 
Mkuu Law of Return ni Sheria yenye vipengele vi 5 na section 6 Kama sheria ilifanyiwa amendment ya mwisho 1970 na ilipitishwa na bunge 05 Jul 1950 na kuanza kutumika Sep 14 Kilichofanyiwa amendment ni section si Sheria nzima ambayo inamtambua wisrael aliyenje ya israel na ambae amezaliwa kwa kuchanganya wazazi anatambuliwa yule aliyezaliwa na mama mwisrael si baba

Mkuu, umeongea ukweli nusu

Ukisoma ammendment namba mbili ya Mwaka 1970 na ufafanuzi uliotolewa katika kipengele 4B, myahudi ametafsiriwa kuwa ni mtu aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi AU mtu aliyeconvert na kuchukua dini ya Judaism, na sharti mtu huyo asiwe na dini nyingine!

Sasa basi kwa mujibu wa sheria ya kurudi Israel, Wayahudi wote wa aina hizo mbili wana haki ya kurudi Israel na kuwa raia wa Israel!

Mkuu inaonekana terms " Israel" na " Jew" vinakuchanganya!.

Ni hivi siyo kila Jew duniani ni raia wa Israel, bali jew yoyote duniani anayetambulika na mamlaka za kiyahudi popote pale duniani akitaka kurejea Israel na kuchukua uraia wa nchi hiyo anapokelewa fasta tu kutokana na hiyo law of return!

Isome vizuri hiyo sheria hapa!
na ammendments zake!

http://www.mfa.gov.il/mfa/mfa-archive/1950-1959/pages/law of return 5710-1950.aspx
 
Mkuu, umeongea ukweli nusu

Ukisoma ammendment namba mbili ya Mwaka 1970 na ufafanuzi uliotolewa katika kipengele 4B, myahudi ametafsiriwa kuwa ni mtu aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi AU mtu aliyeconvert na kuchukua dini ya Judaism, na sharti mtu huyo asiwe na dini nyingine!

Sasa basi kwa mujibu wa sheria ya kurudi Israel, Wayahudi wote wa aina hizo mbili wana haki ya kurudi Israel na kuwa raia wa Israel!

Mkuu inaonekana terms " Israel" na " Jew" vinakuchanganya!.

Ni hivi siyo kila Jew duniani ni raia wa Israel, bali jew yoyote duniani anayetambulika na mamlaka za kiyahudi popote pale duniani akitaka kurejea Israel na kuchukua uraia wa nchi hiyo anapokelewa fasta tu kutokana na hiyo law of return!

Isome vizuri hiyo sheria hapa!
na ammendments zake!

http://www.mfa.gov.il/mfa/mfa-archive/1950-1959/pages/law of return 5710-1950.aspx
Mkuu ninachokiongea nakijua vizuri sana Nimeishi Dizengoff Street , Tel Aviv kwa muda wa miezi 8 na mwezi wa tano mwaka huu narudi tena kule kuna shemu wangu mke wa bro ambae ni myahudi kabisaaa so ninachokingea nakijua mm mwenyewe mdogo wangu yupo huko ni mwaka wa 5 toka kaondoka na ameshaconvert kwenye dini ya kiyahudi huu ni mwaka wa 2 lakini wizara ya mambo ya ndani ya israel wamekataa kumpa uraia na wanasema kipengele hcho kilishafanyiwa marekebisho mwaka 2014 so ninachozungumza nakijua na ninavyokwambia Bro wangu ana miaka 15 huko pamoja na kuoa mwisrael na anafanya kazi huko na haki zote anazo lakini wamemnyima uraia

Na kama kipengele kama kingekuwapo mpaka now ingekuwa ni hatari unadhani ni raia wa nchi ngapi ktk dunia hii wangetaka fursa hyo ?ikiwamo Tanganyika yani kwenda kusoma miezi 9 tu na kuwa jew kamili ili kupata passport ya israel mbona vyepesi sana mkuu nataka kukwambia mtu yeyote mwenye pass ya israel anahesabiwa kama raia kamili wa US bila hata ya kuomba au Green card na watu target yao ingekuwa ni US si kukaa Israel
 
Mkuu Law of Return ni Sheria yenye vipengele vi 5 na section 6 Kama sheria ilifanyiwa amendment ya mwisho 1970 na ilipitishwa na bunge 05 Jul 1950 na kuanza kutumika Sep 14 Kilichofanyiwa amendment ni section si Sheria nzima ambayo inamtambua wisrael aliyenje ya israel na ambae amezaliwa kwa kuchanganya wazazi anatambuliwa yule aliyezaliwa na mama mwisrael si baba

Mkuu, umeongea ukweli nusu

Ukisoma ammendment namba mbili ya Mwaka 1970 na ufafanuzi uliotolewa katika kipengele 4B, myahudi ametafsiriwa kuwa ni mtu aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi AU mtu aliyeconvert na kuchukua dini ya Judaism, na sharti mtu huyo asiwe na dini nyingine!

Sasa basi kwa mujibu wa sheria ya kurudi Israel, Wayahudi wote wa aina hizo mbili wana haki ya kurudi Israel na kuwa raia wa Israel!

Mkuu inaonekana terms " Israel" na " Jew" vinakuchanganya!.

Ni hivi siyo kila Jew duniani ni raia wa Israel, bali jew yoyote duniani anayetambulika na mamlaka za kiyahudi popote pale duniani akitaka kurejea Israel na kuchukua uraia wa nchi hiyo anapokelewa fasta tu kutokana na hiyo law of return!

Isome vizuri hiyo sheria hapa!
Mkuu ninachokiongea nakijua vizuri sana Nimeishi Dizengoff Street , Tel Aviv kwa muda wa miezi 8 na mwezi wa tano mwaka huu narudi tena kule kuna shemu wangu mke wa bro ambae ni myahudi kabisaaa so ninachokingea nakijua mm mwenyewe mdogo wangu yupo huko ni mwaka wa 5 toka kaondoka na ameshaconvert kwenye dini ya kiyahudi huu ni mwaka wa 2 lakini wizara ya mambo ya ndani ya israel wamekataa kumpa uraia na wanasema kipengele hcho kilishafanyiwa marekebisho mwaka 2014 so ninachozungumza nakijua na ninavyokwambia Bro wangu ana miaka 15 huko pamoja na kuoa mwisrael na anafanya kazi huko na haki zote anazo lakini wamemnyima uraia

Na kama kipengele kama kingekuwapo mpaka now ingekuwa ni hatari unadhani ni raia wa nchi ngapi ktk dunia hii wangetaka fursa hyo ?ikiwamo Tanganyika yani kwenda kusoma miezi 9 tu na kuwa jew kamili ili kupata passport ya israel mbona vyepesi sana mkuu nataka kukwambia mtu yeyote mwenye pass ya israel anahesabiwa kama raia kamili wa US bila hata ya kuomba au Green card na watu target yao ingekuwa ni US

Mimi niko Tel- Aviv hapa, na kwa mujibu wa sheria conversion ni lazima zifanyike nje ya Israel na mtu ausome Uyahudi miezi tisa.

Wamefanya hivyo ili kuepuka scenario kama uliyoisema wewe, ya watu kutake advantage ya kuzamia Israel halafu ajifanye ameconvert hukohuko!, Sasa hiyo siyo returning, you are just inside the country already!

Wameweka conversions za nje ya Israel ili waweze kukumonitor kuwa kweli huyu mtu anataka kuwa myahudi kweli au just apate makatasi tu!
 
Mkuu, umeongea ukweli nusu

Ukisoma ammendment namba mbili ya Mwaka 1970 na ufafanuzi uliotolewa katika kipengele 4B, myahudi ametafsiriwa kuwa ni mtu aliyezaliwa na mama wa Kiyahudi AU mtu aliyeconvert na kuchukua dini ya Judaism, na sharti mtu huyo asiwe na dini nyingine!

Sasa basi kwa mujibu wa sheria ya kurudi Israel, Wayahudi wote wa aina hizo mbili wana haki ya kurudi Israel na kuwa raia wa Israel!

Mkuu inaonekana terms " Israel" na " Jew" vinakuchanganya!.

Ni hivi siyo kila Jew duniani ni raia wa Israel, bali jew yoyote duniani anayetambulika na mamlaka za kiyahudi popote pale duniani akitaka kurejea Israel na kuchukua uraia wa nchi hiyo anapokelewa fasta tu kutokana na hiyo law of return!

Isome vizuri hiyo sheria hapa!


Mimi niko Tel- Aviv hapa, na kwa mujibu wa sheria conversion ni lazima zifanyike nje ya Israel na mtu ausome Uyahudi miezi tisa.

Wamefanya hivyo ili kuepuka scenario kama uliyoisema wewe, ya watu kutake advantage ya kuzamia Israel halafu ajifanye ameconvert hukohuko!, Sasa hiyo siyo returning, you are just inside the country already!

Wameweka conversions za nje ya Israel ili waweze kukumonitor kuwa kweli huyu mtu anataka kuwa myahudi kweli au just apate makatasi tu!
Bhasi sawa kama inawezekana sheria ikawa banned ndani then nje ikatumika mkuu umeshaanza kujua kihebrew?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom